Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

Swali ni je kipindi kifupi tu hapo nyuma hatukua na hii hali... imekuaje? Hawa wezi ni kuwatafuna tuu
Lusungo, hii nchi ni ngumu sana.

Fikiria mtu amestaafu lakini bado anataka mambo yake binafsi na rafiki zake yaendelee kuongoza nchi.

Ni hatari sana.
 
Wewe kijana wa sensa, umelipwa pesa zako? Achana na Tanesco dai pesa zako za tanesco
Kijana wa sensa adai pesa za TANESCO? sensa mnafanya watu dhalili kama nyie..

Hao majangili walioko top layer ya CCM ikishawatumia kusalia madarakani ndipo huwakumbuka kwa kuwatupia makombo kama hivyo vijikazi vya sensa!
 
TISS watasema nini kama kazi yao kuu ni kujua CHADEMA wana mikakati gani juu ya kuchua nchi? Hivi bado mna imani na hiyo taasisi? Kama walio wazi tena juani PolisiTZ wako hivyo uwaonavyo je TISS walio gizani?

Punguza pumba we jamaa

TISS wanaripoti kwa mkuu wa nchi ambae ndie chief of Spy,,, sasa kama yeye ha-take any reaction unataka TISS waandamane!??

Mkumbuke enzi za JPM nchi ilikuwa haichezewi hovyo hovyo, TISS waliripoti kila tukio hatarishi iwe kiusalama wa nchi ktk uchumi, siasa, Jamii nk na JPM alikuwa mtu wa kutake action immediately,,, uthubutu first class
Alikuwa mwenye uzalendo kweli kweli, asiyekubali nchi kuchezewa

Wapuuzi kama nyinyi mkawa mnashinda humu kumtukana na kukebehi kila lililofanywa na JPM,
Leo kijiti kimerudi mlipopataka unaanza kupuyanga puyanga humu na vilio

Kwa kifupi wewe ni mmoja ya wananchi msiojua nchi hii inahitaji nn na kiongozi wa kaliba gani anatufaa
 
Kabisa!

Dikteta aendelee kuchomwa moto!

Alitunyanyasa sana!

Sukuma gang wanakomeshwa!

Tunapumua!

Alisikia taahira moja akiwa mitaa ya ufipa
Suluhisho ni katiba mpya na mifumo imara ya taasisi sio hao matapeli toka CCM!
Hatutaki kuweka rehani uongozi kwa kaliba za watu bali sheria na katiba bora.
 
..TISS ni jumuiya ya Ccm, sawa na Uwt, Wazazi, etc.

..wako kwa ajili ya kulinda maslahi ya Ccm na watawala.

..utetezi wa maslahi yetu ungeweza kutoka bungeni, lakini huko nako Ccm wako asilimia 93%.
Tufanyeje sasa kama wananchi? Chombo gani kinaweza kurekebisha mambo haya..
 
Nani alituondoa huko kwenye hiyo mikataba?

Ni yule mshamba wako?

Taratubu dawa itakuingia tu
Hiyo mikataba ilikwisha, halafu huyo mtu atabaki kuwa katili mshamba na muuwaji. Angekua na akili na nia njema angetengeneza nchi yenye katiba bora ambapo hata angeacha kinyago kitini legacy yake ingeishi. Yeye akajiona ni immortal na ujinga wake.
 
Huo ndio ukweli halisi,Tangu makamba ameingia wizara ya Nishati kazi kubwa wanayoifanya Msiga Gang ni kutengeneza mazingira ya kupata 10- 20% peke yake.

Ndio maana kazi ya kwanza ilikuwa ni kuipangua safu yote ya wataalamu.
Nimecheka sana eti anazunguka na mitungi ya Taifa Gas kusistiza matumizi ya gas majumbani? Why asizunguke na Orxy, Total etc....Bora angefanya hivyo kwa Kampuni ambazo zina ubia na serikali instead amefanya hivyo kwa kampuni zenye ubia nae. Aibu sana hii....
 
Be the first to know... hii ndo imekua kanuni kuu ya JF.

Nimepenyezewa taarifa kuwa soon nchi itarudi kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito.

Kwa sasa scarcity ya umeme inatengenezwa ili kujaladia hoja ya kuirudisha nchi kwenye saga za IPTL.

Fisi kaachiwa bucha, mbwa mwitu wanakanyagana.
Kwa hiyo kama maji yamekauka kwenye mabwawa ulitaka serikali iache watu wasipate umeme Kisa umeme huo utakuwa ni WA mafuta?

Upumbavu wenu huu ndio mlifanya mwendazake akaua Mradi wa gas na kukumbatia Bwawa ambalo hatuna pesa Wala deadline ya lini litaisha na ambalo ni prone na climate change..

Kiufupi tulikuwa na Rais mpuuzi asiyeona mbele Wala kuwa na tahadhari.
 
Nani hii ndio nani hii na nani hii ndio nani hii.

Hivyo IPTL kwa sasa lazima ije mpende msipende.
 
Kwa hiyo kama maji yamekauka kwenye mabwawa ulitaka serikali iache watu wasipate umeme Kisa umeme huo utakuwa ni WA mafuta?

Upumbavu wenu huu ndio mlifanya mwendazake akaua Mradi wa gas na kukumbatia Bwawa ambalo hatuna pesa Wala deadline ya lini litaisha na ambalo ni prone na climate change..

Kiufupi tulikuwa na Rais mpuuzi asiyeona mbele Wala kuwa na tahadhari.
Kuna swali wajinga wanauliza... je kwa miaka mitano hakukua na ukame? Kwa miaka mitano mambo ya migao ya enzi ya JK ilifutika shida imekua nini? Unajua faida au madili yanavyolipa kwenye umeme wa mafuta mazito?
 
Suluhisho ni katiba mpya na mifumo imara ya taasisi sio hao matapeli toka CCM!
Hatutaki kuweka rehani uongozi kwa kaliba za watu bali sheria na katiba bora.
Katiba ni makaratasi tu,

Kwani hii iliyopo inaruhusu haya kutokea?
 
Hiyo mikataba ilikwisha, halafu huyo mtu atabaki kuwa katili mshamba na muuwaji. Angekua na akili na nia njema angetengeneza nchi yenye katiba bora ambapo hata angeacha kinyago kitini legacy yake ingeishi. Yeye akajiona ni immortal na ujinga wake.
Katiba ni kitu gani wewe taahira?

Kwani yeye aliweza vipi kuwatia adabu kina rugamalila, seth na genge lake? Alitumia katiba ipi?

Kama ni mshamba na muuaji unalialia nini sasa kwamba IPTL inarudi tena?
Inarudi tena kutokea wapi? Nani aliitoa?

Subiri mnyolewe kwa chupa mavi nyie!

Si mnapumua nyie?
 
Kwa hiyo kama maji yamekauka kwenye mabwawa ulitaka serikali iache watu wasipate umeme Kisa umeme huo utakuwa ni WA mafuta?

Upumbavu wenu huu ndio mlifanya mwendazake akaua Mradi wa gas na kukumbatia Bwawa ambalo hatuna pesa Wala deadline ya lini litaisha na ambalo ni prone na climate change..

Kiufupi tulikuwa na Rais mpuuzi asiyeona mbele Wala kuwa na tahadhari.
Wewe ndio ulishajifia kimwili na kiakili kabisa
 
Hilo linawezekana kweli ? Tuna mrad mlubwa wa JNHPP alaf tena tuanze kuzalish umeme kwa kutumia mamitambo ya maffut mazito. Jamani Tuna akili kweli sisi ?
 
Back
Top Bottom