Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

..TISS ni jumuiya ya Ccm, sawa na Uwt, Wazazi, etc.

..wako kwa ajili ya kulinda maslahi ya Ccm na watawala.

..utetezi wa maslahi yetu ungeweza kutoka bungeni, lakini huko nako Ccm wako asilimia 93%.
JokaKuu hakuna kitu kinachoitwa CCM. CCM ilishakufa zamani. Kulichopo ni wa kikundi cha wapigaji wanaolitumia jina la CCM. TISS ni sehemu ya hiki kikundi. Bila wananchi kukinukisha ni bure. Hiki kikundi kimeshaona wananchi wamelala ndiyo maana hakiogopi.
 
Lile liwaziri linafanya nini ofisini rubbish
 
Wewe kijana wa sensa, umelipwa pesa zako? Achana na Tanesco dai pesa zako za tanesco
 
Hili lilishaonekana toka mzee JPM alipofariki. Watu wanahitaji kuwa na ukwasi ilibidi waingize vijana wao kwenye cabinet ili walitekeleze hili na sio ajabu akarudi yule yule singasinga na Rugemalira wake kwa caption ingine toka America au Europe.

Utakuja kusikia Genelectric wana uzoefu wa uzalishaji umeme kwa mafuta mazito marekani kwa miongo 10 au Uholanzi. Wajinga ndio waliwao. Lineup ileile lazima michezo ibaki ileile. We unaona watu wana endesha ma rangerover, watoto wanafanya harusi za mamilioni hela zinatoka kwenye deal kama hizo.
Africa tulirogwa...halafu hizo range zinapita kwenye barabara za matope
 
TISS watasema nini kama kazi yao kuu ni kujua CHADEMA wana mikakati gani juu ya kuchua nchi? Hivi bado mna imani na hiyo taasisi? Kama walio wazi tena juani PolisiTZ wako hivyo uwaonavyo je TISS walio gizani?
Nchi yetu iko salama ni hao TISS. Wewe wa mjini na mimi huku kijiji tunafurahia usalama wa nchi yetu kwa sababu ya hao TISS. Kuna raia wa DRC nimekutana naye juzi anashangaa jinsi Tanzania ilivyo salama. Kama raia wa kigeni wanasifia mimi na wewe ni nani tusiwe na imani na taasisi za dola? #Tuviheshimu vyombo vyetu vya dola.🙏🙏🙏
Acha upuuzi wewe una usalama kwaajili yanini?
Taratibu ndugu yangu! Wewe mwenyewe unafurahia usalama wa nchi yako hadi unanitukana bila sababu. 🙏🙏🙏
 
Hata huo ufisadi ukitokea sioni kama patafanyika chochote, kama amemuachia yule wa tozo atupige atakavyo, sasa ni zamu ya huyo wa nishati nae kutupiga, hii nchi ni kama haina kiongozi, hawa waswahili huwa wako empty sana kwenye uongozi.
 
Yule mshamba amefariki acha sisi watoto wa mjini tule nchi uku wananchi wapumbavu wakitupigia makofi
Kabisa!

Dikteta aendelee kuchomwa moto!

Alitunyanyasa sana!

Sukuma gang wanakomeshwa!

Tunapumua!

Alisikia taahira moja akiwa mitaa ya ufipa
 
Tunarudishwa kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito kama Aggreko, Symbion na IPTL... ndio motive behind
Nani alituondoa huko kwenye hiyo mikataba?

Ni yule mshamba wako?

Taratubu dawa itakuingia tu
 
Mimi sijui kwa nini moderators wanamwacha huyu clown kuchafua kila thread. Unajua huyu jamaa hayuko serious kwenye mijadala. Yeye anafanya utani kila sehemu. Mpumbavu sana.
Halafu sisi tukipiga spana wanatula ban... last month nimepigwa ban kisa nimesema 'hili nalo mkalitizame' last two weeks nilipigwa ban kisa nimesema Zitto and his team ni takataka...
 
Hili lilishaonekana toka mzee JPM alipofariki. Watu wanahitaji kuwa na ukwasi ilibidi waingize vijana wao kwenye cabinet ili walitekeleze hili na sio ajabu akarudi yule yule singasinga na Rugemalira wake kwa caption ingine toka America au Europe.

Utakuja kusikia Genelectric wana uzoefu wa uzalishaji umeme kwa mafuta mazito marekani kwa miongo 10 au Uholanzi. Wajinga ndio waliwao. Lineup ileile lazima michezo ibaki ileile. We unaona watu wana endesha ma rangerover, watoto wanafanya harusi za mamilioni hela zinatoka kwenye deal kama hizo.
Huzuni ni kwa wabongolala aisee...
 
Uko sahihi kiongozi wajinga watakubishia.

Tulioko kwenye sekta ya viwanda tunayoshuhudia yanassikitisha.


Umeme unakatika bila mpangilio wowote daily. Mwisho hufikii target ya production.


Ni ngumu Sana wawekezaji smart kuja TZ Kwa umeme huu labda waje with their own source power which is expensive.
Swali ni je kipindi kifupi tu hapo nyuma hatukua na hii hali... imekuaje? Hawa wezi ni kuwatafuna tuu
 
Back
Top Bottom