misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Na kumuweka muuza vingamuzi.Huo ndio ukweli halisi,Tangu makamba ameingia wizara ya Nishati kazi kubwa wanayoifanya Msiga Gang ni kutengeneza mazingira ya kupata 10- 20% peke yake.
Ndio maana kazi ya kwanza ilikuwa ni kuipangua safu yote ya wataalamu.
Nakubaliana na wewe mkuu.