Bora umemjibu maana nilimwona punguani tangu mwanzo nikaachana nae.Ukubwa wa nchi ya Congo ni Mara mbili na nusu ya Tanzania na kitu ambacho hujui ni kuwa Congo nzima ni majimbo mawili tu ndio kuna vurugu ...ndani ya drc kuna majimbo watu hawajui kabisa vita inafananaje na hawajawai hata kusikia mlio wa risasi
Kinshasa ni salama kuliko makele kigoma
Tanzania hakujatokea ukame wa kusema tunaanza mgao. Hawa fisi ni wa kuwamaliza tu.Hiyo ilionekana siku nyingi. Mikataba kama ya IPTL ndiyo yenye ulaji wa uhakika kuliko njia nyingine za kifsadi. Kumbuka swala la Rugemalira na mamilioni yaliyogawanywa. Hta kama bwawa la Nyerere lingeisha bado ingejengwa hoja kuwa kuna haja ya kuwa na mwekezaji atusaidie kuliendesha ili mradi pesa ipigwe. Au tumekuwa shamba la bibi?
Ukishangaa ya Mussa kuna ya firauniBe the first to know... hii ndo imekua kanuni kuu ya JF.
Nimepenyezewa taarifa kuwa soon nchi itarudi kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito.
Kwa sasa scarcity ya umeme inatengenezwa ili kujaladia hoja ya kuirudisha nchi kwenye saga za IPTL.
Fisi kaachiwa bucha, mbwa mwitu wanakanyagana.
Suluhisho langu ni Seth arudishe Iptl yakeMatusi yanini? Makasiriko yanini? Kwani mi ndo nilimtwaa Magufuli? Haya hayupo we unatakaje? Hoja yangu ni kwamba kuna hasara kutegemea kaliba za watu binafsi.
Huyo hakuwatia adabu kina Ruge bali alitaka chochote kitu toka kwao. Si yeye alianzisha plea bargaining?
Wewe suluhisho lako katika hili ni lipi? Tumfufue Magufuli?
Soon akina Singasinga wataanza michoro yao kama bado.
Ukishangaa ya Mussa kuna ya firauni
View attachment 2379711
Sukuma gang wanakomeshwaKwamba Putin kafanyaje? Kung'uta kobazi zako uende...
IPTL si ilichukuliwa na serikali baada ya kushindwa kufunga mfumo wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kadri ya mkataba.? TueleweshaneBe the first to know... hii ndo imekua kanuni kuu ya JF.
Nimepenyezewa taarifa kuwa soon nchi itarudi kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito.
Kwa sasa scarcity ya umeme inatengenezwa ili kujaladia hoja ya kuirudisha nchi kwenye saga za IPTL.
Fisi kaachiwa bucha, mbwa mwitu wanakanyagana.
Naona unakazana tu mlisema mlisema mara ooh sijui Shujaa, sasa unatakaje shujaa wako kafa. Yatupasani sisi?
Jibu swali.Wewe umeelewaje?
Asilimia 99.99999999999999999999999999999 ni ccm..TISS ni jumuiya ya Ccm, sawa na Uwt, Wazazi, etc.
..wako kwa ajili ya kulinda maslahi ya Ccm na watawala.
..utetezi wa maslahi yetu ungeweza kutoka bungeni, lakini huko nako Ccm wako asilimia 93%.