Wacha kubwata kama Bata anayeharisha, kwani hukumu imetoka? Na je adhabu ya ugaidi kwani ni kunyongwa?Tuondolee upumbavu wako wa kuambukizwa. Kawadanganye wapumbavu wenzio wa CCM. Mbowe angefanya hivyo CCM kupitia Mahakama zenu za makada wenu za "maelekezo toka juu" angeshahukumiwa kunyongwa!
Kwa muonekano ule wa samia...kweli age is just a number.Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid
Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58
Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
wewe unaumwa, ndoto za mchana hizo bila TUME HURU YA UCHAGUZI na KATIBA MPYA ccm haiwezi kutoka madarakani kamwe mpaka Yesu anarudi, upo apo.Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.
Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Hapana!hebu angalia chain ya uongozi ya CHADEMA kuna Mwenyekiti mchaga,Katibu Msukuma !!sasa hapo uchaga unatoka wapi hapo???Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.
Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.
La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.
CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Uwezekano wa Mbowe kuwa Rais ni mkubwa sanaUkipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.
Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Sipendi kuwabagua watu kabisa ila ndugu zetu wachaga na wahaya aisee.
Mara paaap ndo mchaga rais? hiyo kazi mtaiona[emoji1787][emoji1787]
Bora mshamba kuliko mwizi,mbinafsi na mkabila[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]bora mchaga asiye mshamba
Ikiwa lengo ni kulifanya lile kundi lisilokubaliana na huyu mama liwe upande wenu, basi LISSU hatafaa.Mbowe anaweza kuwa mgombea bora kuliko lisu?!
Usisahau kuwa hΓ’ta huyu aliyepo hakuchaguliwa bali amepita kwa upepo wa hayati, kwa kuzingatia hilo na mimi nakuuliza Sasa "Nani amchague SAMIA??"Mbowe nani amulchague ?
akitaka kuwa rais ,abadili kabila,vingnevyo wallah hata iweje hakiyanani hawampi !![emoji23]Kama kabila ni tatizo atabadilisha tu
Labda wa WCBUwezekano wa Mbowe kuwa Rais ni mkubwa sana
Unawwza ukawazidi watu kwa hoja kwa kuwa no hodari tu wa mdahalo lakini so lazima uwe sahihi,kambona aliona wapi ujamaa utakapotupeleka,na ndipo tulipofika,lakini alishindwa hoja na baba wa taifa,Ila alikua sahihi na mzee alipotokaHizo fikra tunazijua je bila hoja? Chutama mjomba uko uchi!
Kumpa mchaga hatamu za uongozi ni kujiphila Kama taifaHapana!hebu angalia chain ya uongozi ya CHADEMA kuna Mwenyekiti mchaga,Katibu Msukuma !!sasa hapo uchaga unatoka wapi hapo???
Unawwza ukawazidi watu kwa hoja kwa kuwa no hodari tu wa mdahalo lakini so lazima uwe sahihi,kambona aliona wapi ujamaa utakapotupeleka,na ndipo tulipofika,lakini alishindwa hoja na baba wa taifa,Ila alikua sahihi na mzee alipotoka
Kumpa mchaga hatamu za uongozi ni kujiphila Kama taifa
Wanyaaga kasala henahoKwamba una nondo matata sana kichwani lakini *presentation zero" na mtihani ni "oral?"
Si ndiyo umekwisha feli sasa ππ.
Hiiiiii bagosha!
Ulishaona wachaga wanasapoti chama pinzani ambacho so Cha wachaga!!?Ila wewe ndugu msukuma genge?
Ulishaona wachaga wanasapoti chama pinzani ambacho so Cha wachaga!!?
Akishika hatamu akakubagua kisa kabila ndo utajuua Kuna umuhimu zaidi ya kutambikaUchaga na usukuma hauna umuhimu zaidi ya kutambika mjomba ππ
Akishika hatamu akakubagua kisa kabila ndo utajuua Kuna umuhimu zaidi ya kutambika