Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Huu muunganiko wa Lissu, Membe una baraka zote kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Ni bora kubaki na jino bovu kuliko kutumia jitihada kubwa kung'oa jino ilihali hujapata jino bandia...Lisu namheshimu sana, sina shaka naye kabisa upstairs plus uwezo wake wa kuibua na kusimamia kila anachokiamini...BM as well sina neno baya kwake ila kiukweli Jiwe alichanga karata zake mapema na yeye ndiye kashikilia kete zote muhimu hivyo basi kwa mwaka huu nadhani waingie tu ulingoni kujaza CV na kuandaa tasnifu zao! Huwezi Kubet mtanange wa Manzese FS Vc Bayern Munich kisha umpe ushindi Manzese hata kama Manzese angepewa 1000 dhidi ya 3
 
Endeleeni kujifariji, Membe ana kazi maalum huko upinzani mjandae kisaikolojia!!

Akichukua uelekeo huu, itafuta dhana hii kwa kiwangoa cha % kubwa....

Aking'ang'ana na opportunity ya kugombea tu kuutaka Urais, dhana hii itakuwa na nguvu maradufu...!!
 
Wakimuweka mahabusu itakuwa zinga la promo kwa Lissu
Watu watake kukutoa roho, na Mungu wako akatae, halafu wageuke hao hao wakubambikizie mastaka; kama huu sio ushetani ni kitu gani?

WaTanzania hata kama wamegeuzwa kuwa mateka, haifiki mahala wakaona ushetani wa namna hii hauvumiliki na kuchukua hatua za kujiondoa umateka?
 
Ni bora kubaki na jino bovu kuliko kutumia jitihada kubwa kung'oa jino ilihali hujapata jino bandia...Lisu namheshimu sana, sina shaka naye kabisa upstairs plus uwezo wake wa kuibua na kusimamia kila anachokiamini...BM as well sina neno baya kwake ila kiukweli Jiwe alichanga karata zake mapema na yeye ndiye kashikilia kete zote muhimu hivyo basi kwa mwaka huu nadhani waingie tu ulingoni kujaza CV na kuandaa tasnifu zao! Huwezi Kubet mtanange wa Manzese FS Vc Bayern Munich kisha umpe ushindi Manzese hata kama Manzese angepewa 1000 dhidi ya 3
Eeenh, nimekusoma mkuu 'Horseshoe Arch' - interesting name, as is the way of your reasoning as expressed above!

Hizo karata zilizochangwa ni zipi, za polisi na tume na mengine yatakayowanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wanaowataka?

Tuyasifu haya, kama ujuzi wa 'kuchanga karata' huku tukichekelea kwa furaha?

Hii inatofauti gani na majambazi kuingia benki na kupora mapesa na kutokomea, nayo tuyasifu kwa ustadi wao huo; au una maana gani hapa?
 
Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.

Tweet husika ni hii:

"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”

Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.

Tweet nyingine ni hii:

CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU

The best and ever known or tried strategy which if true will win this election
 
Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.

Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Kajipanga yeye, je wanachama na chama chake kimeamua? Mkuu tusubiri vikao viamue.
 
Mbona nimesikia Nyalandu anasimama kwa urais au nimepata fake information?
Hii ni mikakati ya kisiasa. Nyalandu ni safisha njia ya Lissu kumbukeni hyu jamaaa aliondoka Chama kile eti tu kwenda kumwona jiran yake likawa kosa. Sasa mkakati Lisu akifka tu lile basi litageuka na kupakwa Jina la Lissu na dereva akiwa Nyalandu.subilini mtaona hawa jamaa watakapocheza gemu kisomi!!
 
Kwa maoni yangu naomba lisu asirudi kwanza nchini arudi 2025 kama akurudi asigombee ili tuine ushololo wa membe
 
Hii ni mikakati ya kisiasa. Nyalandu ni safisha njia ya Lissu kumbukeni hyu jamaaa aliondoka Chama kile eti tu kwenda kumwona jiran yake likawa kosa. Sasa mkakati Lisu akifka tu lile basi litageuka na kupakwa Jina la Lissu na dereva akiwa Nyalandu.subilini mtaona hawa jamaa watakapocheza gemu kisomi!!
Uzuri kila uchaguzi wapinzani huwa mnakuja na tumaini jipya
 
Upinzani wanapaswa kujitafakari ,tatizo sio nafasi ya urais tatizo ni kua na viti vingi bungeni katika ili wangetengeneza msuguano uliosawa na suala la kutoka bungeni pindi miswada wanayoipinga kupitishwa lingeisha na mambo yote yangenyooka kama ruler
 
Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.

Tweet husika ni hii:

"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”

Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.

Tweet nyingine ni hii:

CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU

Hahahaha yani Membe anamuona Lissu ni bora zaidi ya yeye kwa hiyo akaona ajiunge na ACT na sio chadema? Hahahahhahaha

Membe nia yake si kuiangisha CCM bali ni kugombea Urais
 
Vipi kuhusu Nyalandu nae ni aina ya Lowasa na Membe

Sijui kwa wengine, ila kwangu sina Imani, wala simkubali mtu yoyote toka ccm. Wangalau kama ametoka ccm, iwe amehudumu upinzani sio chini ya 5 consecutive yrs. Kinyume na hapo kwangu ni ngumu.
 
Siyo mkono tu amuunge na mguu kabisa. Hata hivyo ni kujilisha upepo tu, uraisi si asali kila mtu aonjeee
 
Umoja ni nguvu,mimi pia ningependa waungane.Maana vyama vingine ni utopolo vimeshaunga juhudii
 
Back
Top Bottom