Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Ni Membe au Lissu kutegemeana na hali itakavyo kuwa mara Lissu atakaporudi nchini. What if Lissu akazuiwa kwa kesi au kuwekwa mahabusu? Wapanga mipango watakuwa wapo makini na hilo na hivyo kuweka mayai kwenye makapu mawili.
 
Ipo video jasusi amekiri hili juu ya kushirikiana na Lissu na amemsifia sana kwenye one of TL speech .. Jamaa kama atakuwa muungwana na kumuacha TL aongoze jahazi naye akakaa nyuma na kina Mbowe, ZZK nk hakika mhimili unaweza kutikisika..
 
Sasa kama tunajua Lisuu atawekwa ndani, Nyalandu mgombea dhaifu... Kuna plani gani nyingine...kuungana na ACT kwa Membe.

Ya Lowassa 2015 yanatutosha, hatuwezi kurudia kosa la Lowassa. Huyo Membe ni Lowassa mwenye nywele nyeusi. Iwapo Lissu atawekea mizengwe, bora agombee Msigwa, japo tuliowengi hatuna mpango wa kupiga kura kwa tume hii ya kihuni.
 
Tunawafahamu na tunazifahamu siasa za Tanzania.

Sema mnaujasiri sana nyuma ya keyboard...
Kwani "ujasiri wa sana nyuma ya keyboard..." una mashaka nao? Mbona unawapa homa sana.

Kusema "Tunawafahamu na tunazijua siasa za Tanzania" hakuna maana yoyote hapa.

Kwani hizo siasa mlizisimika nyinyi na kuhakikisha haziwezi kung'olewa?

Unapotete vitu visivyostahiri kutetewa unajiweka kuonekana kuwa mpuuzi .
 
Ya Lowassa 2015 yanatutosha, hatuwezi kurudia kosa la Lowassa. Huyo Membe ni Lowassa mwenye nywele nyeusi. Iwapo Lissu atawekea mizengwe, bora agombee Msigwa, japo tuliowengi hatuna mpango wa kupiga kura kwa tume hii ya kihuni.
Huu ni uthibitisho kuwa Chadema mnaweweseka. Yaani unashauri Msigwa awe mgombea?
 
Ni Membe au Lissu kutegemeana na hali itakavyo kuwa mara Lissu atakaporudi nchini. What if Lissu akazuiwa kwa kesi au kuwekwa mahabusu? Wapanga mipango watakuwa wapo makini na hilo na hivyo kuweka mayai kwenye makapu mawili.
Kwanza hili wazo la Lissu kuwekwa mahabusu ni kampeni mbovu mnazozileta hapa kutishia watu.

CHADEMA ni lazima wasikubali kutishiwa na maigizo haya mnayotumwa kuja kuyaeneza hapa. Ni lazima wasimame imara, kama wataamua kuwa ndiye wanayemtaka awe mgombea wao wa kiti cha urais, basi ijulikane hivyo na wasibabaishwe.

Wanachotakiwa kuchambua sasa hivi ni sheria zinazohusika bila kujali vitisho. Wkijiridhisha kuwa hakuna sheria zinazozuia Lissu kusimama, basi wawe na msimamo kulitetea hilo kwa nguvu zote bila kujali mgombea wa CCM anataka nini.

CHADEMA haiwezi kusikiliza CCM wanataka nini ili kumpitisha mgombea wao Lissu.

Lissu amefanya kosa gani hadi wapuuzi hawa walete vitisho vyao hapa.
 
Kwanza hili wazo la Lissu kuwekwa mahabusu ni kampeni mbovu mnazozileta hapa kutishia watu.

CHADEMA ni lazima wasikubali kutishiwa na maigizo haya mnayotumwa kuja kuyaeneza hapa. Ni lazima wasimame imara, kama wataamua kuwa ndiye wanayemtaka awe mgombea wao wa kiti cha urais, basi ijulikane hivyo na wasibabaishwe.

Wanachotakiwa kuchambua sasa hivi ni sheria zinazohusika bila kujali vitisho. Wkijiridhisha kuwa hakuna sheria zinazozuia Lissu kusimama, basi wawe na msimamo kulitetea hilo kwa nguvu zote bila kujali mgombea wa CCM anataka nini.

CHADEMA haiwezi kusikiliza CCM wanataka nini ili kumpitisha mgombea wao Lissu.

Lissu amefanya kosa gani hadi wapuuzi hawa walete vitisho vyao hapa.
Wakimuweka mahabusu itakuwa zinga la promo kwa Lissu
 
Kwa hiyo akipitishwa mwingine tofauti na TL hashirikiani naye?
 
Lisu hawezi kuteuliwa hata kidogo hapa nyalandu atapeperusha bebdera chadema
 

Sasa mimi niumizwe na nini?

Shida moja watu kwenye siasa mko so brainwashed, huwa hamkubaliani na reality.

Membe angetaka kusindikiza wenzake angetulia CCM asubiri miaka ya Magu iishe.

Nachokwambia ni kwamba, there is no way Membe aje kuwa msindikizaji.
Siyo msindikizaji.. Mr President TAML anaapishwa, BM anakuwa PM, shida nini?

Kumbe polepole Ni mkweli sometimes
 
Ya Lowassa 2015 yanatutosha, hatuwezi kurudia kosa la Lowassa. Huyo Membe ni Lowassa mwenye nywele nyeusi. Iwapo Lissu atawekea mizengwe, bora agombee Msigwa, japo tuliowengi hatuna mpango wa kupiga kura kwa tume hii ya kihuni.
Vipi kuhusu Nyalandu nae ni aina ya Lowasa na Membe
 
Back
Top Bottom