Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili Membe kumuunga mkono Lissu iwapo atapitishwa

Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.

Tweet husika ni hii:

"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”

Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.

Tweet nyingine ni hii:

CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU
Hiyo haina ubishi mkuu, hii ni habari nzr sana kwa wapenda demokrasia na maendeleo ya nchi yetu...hao wazee wa b7 fc acha waendelee na mapambio yao ya kusifu na kuabudu
 
Wewe jamaa nilishashindwa kukuelewa. Hivi uko upande gani ccm au upinzani? CHADEMA walio wengi wanamtaka Lisu ila wewe huishiwi ngojera za kumpinga Lisu.
Mkuu mimi simpingi Lissu, Ila iko wazi Lissu kupewa Uhuru wa kugombea na huu utawala ni ndoto ya Mchana Lissu mwenyewe anajua.

Vyombo vya dola vina mengi ya kuongea na Lissu kabla ya kupata nafasi kugombe Urais.

Kwa anaejua siasa za visasi za Magufuli na anavyomwogopa Lisu haiwezi kukusumbua kubaini hilo.

Lisu akitua Tanzania huenda asilale hata Nyumbani kwake, Cha kwanza lazima wachukue passport yake halafu kwa hii miaka mitano ya Magufuli huenda amalizia kuwa mwenyeji kwenye viunga vya mahakama.
 
Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.

Tweet husika ni hii:

"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”

Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.

Tweet nyingine ni hii:

CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU
atajijengea heahima kubwa sana .
 
Membe hana huo ujinga wa eti aje kusindikiza wenzake, angetaka hivyo angebaki CCM.
 
Utaumia sana!

Sasa mimi niumizwe na nini?

Shida moja watu kwenye siasa mko so brainwashed, huwa hamkubaliani na reality.

Membe angetaka kusindikiza wenzake angetulia CCM asubiri miaka ya Magu iishe.

Nachokwambia ni kwamba, there is no way Membe aje kuwa msindikizaji.
 
Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.

Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Nyalandu huyu huyu aliyekuwa akivinjari na akina anti Ezekieli Ulaya wakati akiwa Waziri wa maliasili??
 
Ungependa sana , Membe ni mwana ACT, only if ACT ikiamua hivyo, nanyi Chadema mkakubali Muungano wa upinzani, lakini ambowe anavyoendesha mambo haitarokea, na huenda tukamuona Lissu hatimaye akuhamia ACT, au akinunuliwa kwa lugha yenu ya chadema.
 
Yaani lile jitu siku linaangushwa lazima nichinje mwanandama aliyenona wananchi wangu wale nyama mpaka wachoke siku hiyo!!
 
Mkuu mimi simpingi Lissu, Ila iko wazi Lissu kupewa Uhuru wa kugombea na huu utawala ni ndoto ya Mchana Lissu mwenyewe anajua.

Vyombo vya dola vina mengi ya kuongea na Lissu kabla ya kupata nafasi kugombe Urais.

Kwa anaejua siasa za visasi za Magufuli na anavyomwogopa Lisu haiwezi kukusumbua kubaini hilo.

Lisu akitua Tanzania huenda asilale hata Nyumbani kwake, Cha kwanza lazima wachukue passport yake halafu kwa hii miaka mitano ya Magufuli huenda amalizia kuwa mwenyeji kwenye viunga vya mahakama.
Kama wanataka civil unrest wajaribu kufanya huu upuuzi. Afrika matatizo yaanziaga kwenye chafu I sasa kama CCM na magu wanataka kujaribu simu kwa kuionja wajaribu kufanya huu upuuzi. Watakuwa wamechoka sana amani
 
Ni vigezo vipi ulivyovitumia kuhitimisha Nyalandu kajipanga kuliko Lissu hasa ukitilia maanani lissu hayuko nchini kwa karibu miaka mitatu!?

Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.

Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
 
Nyalandu huyu huyu aliyekuwa akivinjari na akina anti Ezekieli Ulaya wakati akiwa Waziri wa maliasili??
CCM wameweka mapandikizi yao humu jamvini kazi zao ni kutoa comments za kuufanya umma wakate tamaa na Lissu.

Nawaambia CCM kuwa watanzania sasa tunajielewa. Magufuli kwa jinsi alivo haitaji soft politician wa kupambana nae maaana kajiaminisha vyombovya dola vitambeba kwa iyo anahitaji mwanasiasa anayeweza kuhamasisha kweli nguvu ya umma inayoweza kuvishinda vyombo vya dola na si mwingine Bali ni Tundu Antipas Lissu
 
Back
Top Bottom