Kuna Kila dalili tukapata coalition ya CCM na CHADEMA kabla 2025 huku bara

Kuna Kila dalili tukapata coalition ya CCM na CHADEMA kabla 2025 huku bara

Palipo na udhia, penyeza rupia.

Mama kajua Mchaga asili, mpatie buyu la asali.

Kwisha habari yao. 😂
Pole sukuma gang utazidi kuumia kwa chuki. Hukutegemea Mbowe anaweza itwa ikulu na kusikilizwa madai yake ya katiba??

Hizo siasa zimeshapita sahivi mnakosoana bila kutumia bunduki so uzoee tu au uhamie Burundi.
 
Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.

Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.

CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.

Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.

Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.

Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Coalition ya aje?
 
Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.

Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.

CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.

Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.

Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.

Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
CHADEMA watasimamisha mgombea ila dakika za mwisho mwa kampeni atajitoa na kuwaambia wapiga kura wake wampigie Mama Samia. Hiyo ndo mbinu kubwa watakayotumia.
 
Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.

Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.

CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.

Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.

Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.

Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
HAKUNA serikali ya mseto ya aina hiyo. Someni katiba.

Labda vyeo tu, wahamie CCM wapewe vyeo
 
Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.

Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.

CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.

Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.

Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.

Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Sijaona maana yoyote ya huo mstari wa mwisho; lakini ya kuungana CHADEMA ya Mbowe na tawi la CCM la Samia hilo siyo jambo jipya ulilobuni wewe.

Lakini hebu tufikirie hili la pembeni pia; kwamba Samia anakuwa mgombea wa urais kupitia CHADEMA. Unalionaje hilo.

Sitafafanua itakuwaje hivyo, lakini lichukulie hivyo hivyo nilivyoliweka hapo.
 
I thought your avatar name will reflect your thinking ability! A Philosopher! So sad!
What is a philosopher person?
a person who seeks wisdom or enlightenment : scholar, thinker. : a student of philosophy.
Mbona ni wewe unakosea mkuu, yeye hajadai popote kuwa philosopher, yeye ni 'phylosopher'.
 
Watafanya tu kama walivyofanya enzi za ukawa!
Kwenye madaraka ni ngumu.

Labda kuteuana kwenye nafasi za kawaida tu Kama ilivyokuwa inafanyika kwa MBATIA.

Ila kwa nafasi za kikatiba Kama PM, Makamu Rais ni ngumu. Hata Speaker tu ngumu
 
Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.

Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.

CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.

Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.

Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.

Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Tuongee ukweli, mtu aliyekutoa gerezani, akakutibu majeraha, akakufutia kesi ulizobambikizwa, ukakufuta machozi na magumu uliyopitia, hivi utamtukana?
 
Back
Top Bottom