Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Na chuo cha kutengeneza mafisad na kuyalinda kipo wapi? Elezea yote usiseme nusunusu!!Chadema ni brashi la kusafisha MAFISADI na MAJALALA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na chuo cha kutengeneza mafisad na kuyalinda kipo wapi? Elezea yote usiseme nusunusu!!Chadema ni brashi la kusafisha MAFISADI na MAJALALA.
Pole sukuma gang utazidi kuumia kwa chuki. Hukutegemea Mbowe anaweza itwa ikulu na kusikilizwa madai yake ya katiba??Palipo na udhia, penyeza rupia.
Mama kajua Mchaga asili, mpatie buyu la asali.
Kwisha habari yao. 😂
Mbinu zipi hizo mkuu naona kama wale wafuasi wa chadema wahafdhina hawana chao chademaWewe hujui mbinu za kisiasa usifikiri CDM ni wajinga.
Coalition ya aje?Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.
Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.
CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.
Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.
Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.
Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Kuachiana na kugawana vyeoCoalition ya aje?
Sawa inawezekana wakakubaliana Mama ashinde Kwa kishindo na wao wakapata wabunge kadhaa.Kuachiana na kugawana vyeo
Kwakweli chadema wana busara sana wameliona hilo!Anyongwe lakini haki mpeni ,angeamua lema asingerudi
Angechelewa kumwita mbowe ikulu Leo nchi pengine tungekua tunasema jambo lingine
Tayari mwenyekiti wa CCM atakuwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya BAWACHA. RELAXbroad light dreamer
CHADEMA watasimamisha mgombea ila dakika za mwisho mwa kampeni atajitoa na kuwaambia wapiga kura wake wampigie Mama Samia. Hiyo ndo mbinu kubwa watakayotumia.Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.
Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.
CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.
Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.
Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.
Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
HAKUNA serikali ya mseto ya aina hiyo. Someni katiba.Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.
Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.
CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.
Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.
Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.
Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Hahaha haa haaa hii kali sanaCHADEMA watasimamisha mgombea ila dakika za mwisho mwa kwampeni atajitoa na kuwaambia wapiga kura wake wampigie Mama Samia. Hiyo ndo mbinu kubwa watakayotumia.
Watafanya tu kama walivyofanya enzi za ukawa!HAKUNA serikali ya mseto ya aina hiyo. Someni katiba.
Labda vyeo tu, wahamie CCM wapewe vyeo
Sijaona maana yoyote ya huo mstari wa mwisho; lakini ya kuungana CHADEMA ya Mbowe na tawi la CCM la Samia hilo siyo jambo jipya ulilobuni wewe.Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.
Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.
CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.
Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.
Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.
Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Mbona ni wewe unakosea mkuu, yeye hajadai popote kuwa philosopher, yeye ni 'phylosopher'.I thought your avatar name will reflect your thinking ability! A Philosopher! So sad!
What is a philosopher person?
a person who seeks wisdom or enlightenment : scholar, thinker. : a student of philosophy.
Kwenye madaraka ni ngumu.Watafanya tu kama walivyofanya enzi za ukawa!
Tukiwa secondary school advance level shule Moja mashuhuli ya vipaji maalumI am doubtful with a philosopher!
Tuongee ukweli, mtu aliyekutoa gerezani, akakutibu majeraha, akakufutia kesi ulizobambikizwa, ukakufuta machozi na magumu uliyopitia, hivi utamtukana?Hii kasi ya uongozi wa CHADEMA kupongeza na kuunga mkono uongozi wa Mama tangu Taifa hadi huku mashinani, ipo kimkakati sana.
Inavyoonekana kuna namna CHADEMA wamevutiwa sana na utendaji wa Mama kwa hivyo wameona hakuna sababu ya kulumbana naye isipokuwa kumuunga mkono.
CHADEMA ninayoifahamu ya tangia siku za Mkapa haikuwahi kuwa na mtazamo laini kuelekea CCM kama ilivyo leo.
Kwa kuunganisha dot tu utajua kwamba uchaguzi wa 2025 kama CCM wakimsimamisha mama CHADEMA watampigia kampeni.
Na Kwa jinsi hiyo hakuna shaka tukaona wakiachiana hata majimbo.
Kama tukifanikiwa kufikia huko itakuwa mafanikio makubwa sana ya kisiasa maana sijaona popote duniani chama pinzani kinaunga mkono chama tawala Kwa kiwango hiki.
Ongea lakini uweke akiba ya manenobroad light dreamer