Serikali ya mseto yaweza tu kuwepo baada ya uchaguzi.
Kinachoweza kufanywa kwa sasa ni katiba mpya yenye uwezekano wa kuunda serikali ya mseto. Sababu kuu zikiwa;
1. Mama ni mwanamke hivyo kukosa kura nyingi kwa sababu ya mfumo dume (tamaduni, mila zetu na hata dini zinamshusha mwanamke).
2. Mama anatoka visiwani (Zanzibar), hivyo ubara, ukabila au ukanda unaweza kuathiri kura zake kwa asilimia kubwa..
Kwa sababu hizo mbili juu, watu wa mama (siyo chawa), inatakiwa kazi na mbinu za ziada kuhakikisha anashinda.