The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
- #81
Ni muhimu chadema ingebaki na misimamo ya kuikosoa ccm kwa hivi sasa hatutapata sauti mbdalaBinadamu msio na jema nyie!. Kumbe we ni mmoja wa wahafidhina mliotajwa katika hotuba ya Rais Samia. We ulitaka iweje, kwa mfano?