Kuna kila dalili ya CCM kumburuza mahakamani Tundu Lissu, labda kudai fidia ya mabilioni

Wewe humjui LISSU vizuri amesema CCM hajasema CHAMA CHA MAPINDUZI ,Mahakamani kirefu cha CCM kitabadilishwa na kuwa CHAMA CHA MBUZI , hajasema Mama SAMIA amesema Mama ABDUL
 
Na mtego huo hatatutauingia kamweeeeeeee…in kabudi voice 😀😀😀
 
Huu muda uliyo tumia kuandika pumba hapa ungetumia kujifunza mwandiko ungefika mbali sana pia bado hujachelewa
 
ccm haiwezi kwenda mahakamani!
 
Bora usingeandika hii kitu!
 
 
Watamlipa wao.
Aliyekuwa na nia hiyo alijaribu mara kadhaa ikashindikana,mbadala wake ikawa ni zile risasi 16 napo IKASHINDIKANA.
 
Mbona bado hamjafungua, mnasubiriwa kwa hamu huku Mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…