Kuna kila dalili ya CCM kumburuza mahakamani Tundu Lissu, labda kudai fidia ya mabilioni

Kuna kila dalili ya CCM kumburuza mahakamani Tundu Lissu, labda kudai fidia ya mabilioni

Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Ukilaza ktk ubora wako
 
Ccm hawamuwezi Lissu, itabidi tu waungane nae
images (23).jpeg
 
Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Msaga Sumu unataka kumlisha nani hiyo sumu 😂
 
Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Hata wapinzani hawanunuliwi ila wao ndio wanahonga wapokelewe CCM.
 
Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Akili ulimkabidhi nani wewe!?Umewahi kuona viumbe wanaaibika hadi wanapata kifaduro?Haya,endelea na upompompo wako.
 
Kwani CCM si majizi
1. Mfano MRAMBA NA YONA WALIPOIBA PESA ZA WANANCHI WALIKUWA NI CUF?
2. CCM WALIPOIBA PESA ZA EPA WALIKUWA NI CUF?
3. CCM WALIPOIBA PESA ZA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII WALIKUWA NI CUF?

Britanicca
Escrow plus Meremeta
 
Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Tangu mwaka 96, lissu alianza kushtakiwa, amepigea rasi Zaid ya kumi, wote waliomtesa,,, washakufa
 
Anajiamini! Changamoto tu kwa CCM hakuna Mwendesha Mashitaka wa Serikali atakaye kuwa tayari kupambana na Lissu mahakamani.
 
Back
Top Bottom