Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu


Wasituletee mambo ya Maalim Seif huku. Analianzisha alafu anakimbia arabuni tena kwa fedha za umma na familia yake kula bata, huku anaacha watu wakikanyagana kuepuka vibomu.

Kwa safu hii 👇🏿 wanapenyea wapi wenye kudai haki au kutaka kukinukisha?

Mkuu wa jeshi la polisi, mwenye dhamana ya kutuhakikishia usalama = KANDA MAALUM

Mkuu wa Majeshi yote nchini, ´´mwenye uwezo wa kuamua kieleweke na kikaeleweka `` = KANDA MAALUM

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, mwenye dhamana ya kutangaza mshindi/mshindwi = KANDA MAALUM

Mkuu wa watoaji haki mahakamani, jaji mkuu = KANDA MAALUM

Mkuu wa waganga wa kienyeji na wachawi nchini = KANDA MAALUM
 
Uzuri ni kuwa iwe mvua liwake jua hiyo form anaichukua tu
Kama umeshiriki unaelewa kwann huyu mpiga yowe hatakiwi kupewa fomu. Bora azipigie yowe akiwa nje, akiruhusiwa akaingia ndani huo usumbufu wake vuvuzela lina afadhali. Naelewa kabisa kwann hatakiwi kuingia ndani huyu.
 
Membe tu anawatisha ndani ya chama, huku nje ndio kabisa huyo mtu wenu atakataliwa na wengi.
Kama ni tishio mchukueni nyinyi awe mgombea wenu,awasaidie na hicho kitisho chake.maana chadema hamna mgombea mpaka Sasa!!!
 
Mkuu hiyo tarehe bado ipo kwenye mabano sana ebu yafungue basi
07/07/2020..ni tarehe muhimu sana kwa wapenda haki...kwn haki huinua Taifa...kukiwa na Tume huru, bc hata mshindi hupatikana kwa haki
 
Ugoro mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…