Mkuu pole, kama upo Tz safiri toka Mtwara to Bukoba au Mbeya to Arusha then hoji watu juu ya CCM na Dkt Magufuli, then tupe mrejesho.
Unafikiri hawajui Basi wanajitoa ufahamu tuHizo ni hofu na matamanio ya Chadema tu
Uchaguzi utafanyika km kawaida na Magufuli ata score 98%
Maisha ni yale yale
Nje wapi?Membe tu anawatisha ndani ya chama, huku nje ndio kabisa huyo mtu wenu atakataliwa na wengi.
Bangi mbaya ,iache ,unadhurika taratibu hivyo bila ya wewe kujijua
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.
Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.
Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.
Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.
Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.
Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Kama umeshiriki unaelewa kwann huyu mpiga yowe hatakiwi kupewa fomu. Bora azipigie yowe akiwa nje, akiruhusiwa akaingia ndani huo usumbufu wake vuvuzela lina afadhali. Naelewa kabisa kwann hatakiwi kuingia ndani huyu.
Unaishi Kenya au Tanzania?
Yaa. Si huko ndani. Atasumbua.Aende popote agombee
Kama ni tishio mchukueni nyinyi awe mgombea wenu,awasaidie na hicho kitisho chake.maana chadema hamna mgombea mpaka Sasa!!!Membe tu anawatisha ndani ya chama, huku nje ndio kabisa huyo mtu wenu atakataliwa na wengi.
Basi unaota ndoto za mchana!
Sawa sawaUzuri ni kuwa iwe mvua liwake jua hiyo form anaichukua tu
Aende popote agombee
Membe tu anawatisha ndani ya chama, huku nje ndio kabisa huyo mtu wenu atakataliwa na wengi.
07/07/2020..ni tarehe muhimu sana kwa wapenda haki...kwn haki huinua Taifa...kukiwa na Tume huru, bc hata mshindi hupatikana kwa haki
Kingwendu ametia nia msije " mkamkanyaga kanyaga"Kwanini usiwe wewe ndiyo unaota?
Wasituletee mambo ya Maalim Seif huku. Analianzisha alafu anakimbia arabuni tena kwa fedha za umma na familia yake kula bata, huku anaacha watu wakikanyagana kuepuka vibomu.
Kwa safu hii [emoji1541] wanapenyea wapi wenye kudai haki au kutaka kukinukisha?
Mkuu wa jeshi la polisi, mwenye dhamana ya kutuhakikishia usalama = KANDA MAALUM
Mkuu wa Majeshi yote nchini, ´´mwenye uwezo wa kuamua kieleweke na kikaeleweka `` = KANDA MAALUM
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, mwenye dhamana ya kutangaza mshindi/mshindwi = KANDA MAALUM
Mkuu wa watoaji haki mahakamani, jaji mkuu = KANDA MAALUM
Mkuu wa waganga wa kienyeji na wachawi nchini = KANDA MAALUM
Fomu anapewa na nani?Anagombea ccm, utake usitake
Sawa sawa
Fomu anapewa na nani?
Bado si official ni porojo tu.Habari ndiyo hiyo