Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu

Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Kwa mgeni wa siasa za Tanzania anaweza ukampa hizo bashiri au lamli zako lakini kwa mtu aliyeshuhudia chaguzi za Tanzania kuanzia mwaka 1995 baada ya vyama vingi yaani ni sawa na kusema ni mvinyo ule ule tofauti kifungashio tu, hakuna uchaguzi uliowahi kuwa mgumu kama wa mwaka 1995 kipindi anagombea Mrema na mwingine ni wa 2015 alipogombea Lowassa, wanaojua siasa za Tanzania watakubaliana na mimi, uchaguzi huu ni kutimiza takwa la katiba tu hata wao washindani wanajua hakuna wa kumshinda John Pombe Magufuli, ukweli huu kuna watu wanajisahaulisha tu! Fanyeni utafiti kidogo tu hasa vijijini ambako ndiko watanzania waliko achaneni na taralila za watu wa mjini kwenye mitandao ya kijamii ambao kimsingi kwanza huwa hawajitokezi kujiandikisha na hata siku ya kupiga kura.
 
Toka mwaka jana mpaka mwezi uliopita nimetembelea mikoa mitano kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kibiashara, msiba na kikazi. Mikoa hiyo ni Morogoro, Tanga, Singida, Dodoma na manyara. Huko kote nilitaka kupata mitazamo ya wananchi, ni kweli Magufuli yuko masikioni mwao, lakini ni kwasababu anatangazwa sana. Ila ccm haiko akilini wala mioyoni mwa watu wengi, maana ccm imemezwa na jina Magufuli.

Hivyo ubashiri wangu wakati wa uchaguzi, watu watataka kusikia wapinzani wanasema nini maana wamewamiss. Magufuli atakuwa anarudia nyimbo hizo hizo, na ccm itabidi itumie kivuli zaidi cha jina Magufuli, maana yenyewe imechuja. Kwahiyo kampeni itakuwa dhidi ya walevi wa madaraka na wenye viburi, dhidi ya wanaokandamizwa kutokana na siasa chafu za awamu ya tano.

Mkuu, mwaka 2015 Magufuli alipiga kampeni kwa JINA LAKE - sio CCM. Kama jina lake ndilo linalouza kwa wananchi hadi leo hii - kwa picha uliyotoa hapa - basi ndilo litakalotumika kumpa kura nyingi tena - ingawa, kama tunavyojua,ushindi wake ni GUARANTEED bila kujali hesabu ya kura.

Ujue NOBODY REALLY CARES FOR THE SO-CALLED CCM. Hicho ni chombo tu. Hao wanaojiita wanachama wa CCM wanachokitaka hasa ni kuambatana na nguvu ya dola na fursa zake. Hivyo, kama jina la CCM haliuzi, basi watapiga kampeni jina la Magufuli na “mafanikio” yake. Na hilo ndilo “jina kuu” ambalo safari hii, tunaaminishwa, ndilo litakaloamua nani anarudi / ingia bungeni (2021-2025) na nani atatoswa; chama gani cha upinzani kitakuwa kikuu na nani atakuwa KUB.

Huwa nawasifu sana wenye kujadili siasa za Tanzania kama vile tuko kwenye mazingira ya kawaida (rational), kama vile wengi wetu tuna uelewa wa mfumo wa vyama vingi au hata maana halisi ya siasa. Nchi ambayo mtu anasimama na kusema: “maendeleo hayana vyama”; “tusilete siasa kwenye mambo muhimu”; “tuungane, tuweke itikadi zetu pembeni” halafu anashangiliwa sana hata na maprofesa!

Mwaka huu Magufuli anashinda urais kwa asilimia isiyopungua 90 (watch out TWAWEZA) na wagombea wengi wa CCM watashinda kuliko ilivyokuwa 2015. LABDA itokee “force majeure”.
 
Mkuu, mwaka 2015 Magufuli alipiga kampeni kwa JINA LAKE - sio CCM. Kama jina lake ndilo linalouza kwa wananchi hadi leo hii - kwa picha uliyotoa hapa - basi ndilo litakalotumika kumpa kura nyingi tena - ingawa, kama tunavyojua,ushindi wake ni GUARANTEED bila kujali hesabu ya kura.

Ujue NOBODY REALLY CARES FOR THE SO-CALLED CCM. Hicho ni chombo tu. Hao wanaojiita wanachama wa CCM wanachokitaka hasa ni kuambatana na nguvu ya dola na fursa zake. Hivyo, kama jina la CCM haliuzi, basi watapiga kampeni jina la Magufuli na “mafanikio” yake. Na hilo ndilo “jina kuu” ambalo safari hii, tunaaminishwa, ndilo litakaloamua nani anarudi / ingia bungeni (2021-2025) na nani atatoswa; chama gani cha upinzani kitakuwa kikuu na nani atakuwa KUB.

Huwa nawasifu sana wenye kujadili siasa za Tanzania kama vile tuko kwenye mazingira ya kawaida (rational), kama vile wengi wetu tuna uelewa wa mfumo wa vyama vingi au hata maana halisi ya siasa. Nchi ambayo mtu anasimama na kusema: “maendeleo hayana vyama”; “tusilete siasa kwenye mambo muhimu”; “tuungane, tuweke itikadi zetu pembeni” halafu anashangiliwa sana hata na maprofesa!

Mwaka huu Magufuli anashinda urais kwa asilimia isiyopungua 90 (watch out TWAWEZA) na wagombea wengi wa CCM watashinda kuliko ilivyokuwa 2015. LABDA itokee “force majeure”.

Mkuu atashinda kwa 90%, au atatangazwa kwa ushindi wa 90%?
 
Endelea kuisha kwa kukariri kama wafuasi wa kina Gaddafi na wengineo waliodhani nchi wameidhibiti kwa asilimia 100 kumbe walikuwa wanajidanganya.
[emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahisha sana. Nafikiri hiyo ilikuwa tena jaribio lankuni test.

Sikukatalii unacho sema, lakini naomba kwanza utafakari kabla ya kwenda mtandaoni.

Msimamo wetu nafikiri unaujua. Sisi hatuishi kwa "kukariri", kwa kubahatisha, wala kwa ku "copy and paste". Tuko serious na maisha yetu. Maisha yetu hatuyaachii bahati nasibu bali "are determined by a supernatural force". Tumeifanya Coronavirus itubu, sembusse binadam?
 
Tatizo hamueleweke mmesimamia nini?
mara mnataka msusie uchaguzi mpaka tume huru?
mara tena mnamtaka Membe?
mnataka muungane ilhali kila chama kishaanza kujadili mpeperusha bendera wa chama chake!!!
 
Kwa mgeni wa siasa za Tanzania anaweza ukampa hizo bashiri au lamli zako lakini kwa mtu aliyeshuhudia chaguzi za Tanzania kuanzia mwaka 1995 baada ya vyama vingi yaani ni sawa na kusema ni mvinyo ule ule tofauti kifungashio tu, hakuna uchaguzi uliowahi kuwa mgumu kama wa mwaka 1995 kipindi anagombea Mrema na mwingine ni wa 2015 alipogombea Lowassa, wanaojua siasa za Tanzania watakubaliana na mimi, uchaguzi huu ni kutimiza takwa la katiba tu hata wao washindani wanajua hakuna wa kumshinda John Pombe Magufuli, ukweli huu kuna watu wanajisahaulisha tu! Fanyeni utafiti kidogo tu hasa vijijini ambako ndiko watanzania waliko achaneni na taralila za watu wa mjini kwenye mitandao ya kijamii ambao kimsingi kwanza huwa hawajitokezi kujiandikisha na hata siku ya kupiga kura.
Mkuu kiongonzi kila zama na zama zake
.kama unakiri kwamba uchaguzi wa 95na 2015ulikua kiboko hata Mimi nakili ila all in all mazingira ya kila mwaka ya uchaguzi yanatofautiana sana mfano ,ebu tulinganishe chaguzi zote mbili na huu wa 2020
1.je mazingirara ya kisiasa,kiuchumi kwa wananchi,wafanyakazi wafanyabiashara wakubwa na wadogo,wakulima, yalikua sawia na 2020 ukilinganisha na hizo chaguzi za 95 au 2015. Nipe jibu hapa kwa mtazamo wako maana wote tuko huku mtaani ukweli usemwe hali ni mbaya.
2.Iyo miaka tajwa hapo juu idadi ya wananchi,na uelewa wa wananchi ulikua sawa na leo hii 2020? Naomba jibu.
Tuseme MAGU binafsi naamini wenda ni kiongozi mzuri ila ila yapo ambayo amefanya wenda kwa ushauri mbaya au kwa kuamini yuko sahii kwa bahati mbaya au kwa kujua na niseme tu yamewakwaza wananchi au yapo yanayoendelea kuwakwaza wananchi so watu wananyongo but akiweza bado inaweza kujisahihisha tu.Na hii ndo inaweza tofautisha chaguzi zilizo pita na huu wa 2020 ,kwamba watu wanauelewa wa kutosha na wananyongo ya kutosha so mtu akiweka petroli kidogo moto unawaka .mfano ebu angalia clip ya yule mama wa chato akikemea kushushwa bendera za chadema chatto ,ni mwanamke but ongea yake anaonekana hana cha kupoteza.
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Unajua tuna kiongozi asiyekuwa mwelewa wa mambo ameshadanganywa kuwa nguvu ya dola ndio kila kitu, we mwache aone atakavyotolewa nje ya ulingo bila kutegemea.
 
Mi ningekua nawashauri wanasiasa hasa upinzani ningewashauri waachane na siasa za mitandaoni, huku unaweza aminishwa kuwa unapendwa au unachukiwa ila katika uhalisia ikawa tofauti .
Mitandaoni wamejaa makanjanja tu ambao ukute hata kujiandikisha hawakujiandikisha ila wanakuaminisha watakupigia kura.
Mitandaoni watu wanapeana sapoti za kinafiki ambapo ikija kwenye uhalisia hizo sapoti huzioni. Kama huniamini jaribu kuandika mtandaoni kuwa unaumwa au umefiwa utapata pole na condolences nyingi lakini hao hao watu walokupa pole ukikutana nao njian hata hawakuulizii unaendeleaje.
Mitandaoni wamejaa keyboard warriors wengi ambao wanakupa moyo oooh tutakinusha, pata chimbuka na maneno mengi ya kishujaa ila ikifika siku ya siku huwaoni barabarani wakiandana au lah ( Rejea maandamano ya Mange Kimambi)
Kwa kuhitimisha vyama vya siasa na wanaharakati wote waache kutegemea sana mitandao ili kufanikisha mambo yao vinginevyo watajikuta wanakua disappointed kila wakati.
# KURA NI HAKI YAKO, ITUMIE
 
Mi ningekua nawashauri wanasiasa hasa upinzani ningewashauri waachane na siasa za mitandaoni, huku unaweza aminishwa kuwa unapendwa au unachukiwa ila katika uhalisia ikawa tofauti .
Mitandaoni wamejaa makanjanja tu ambao ukute hata kujiandikisha hawakujiandikisha ila wanakuaminisha watakupigia kura.
Mitandaoni watu wanapeana sapoti za kinafiki ambapo ikija kwenye uhalisia hizo sapoti huzioni. Kama huniamini jaribu kuandika mtandaoni kuwa unaumwa au umefiwa utapata pole na condolences nyingi lakini hao hao watu walokupa pole ukikutana nao njian hata hawakuulizii unaendeleaje.
Mitandaoni wamejaa keyboard warriors wengi ambao wanakupa moyo oooh tutakinusha, pata chimbuka na maneno mengi ya kishujaa ila ikifika siku ya siku huwaoni barabarani wakiandana au lah ( Rejea maandamano ya Mange Kimambi)
Kwa kuhitimisha vyama vya siasa na wanaharakati wote waache kutegemea sana mitandao ili kufanikisha mambo yao vinginevyo watajikuta wanakua disappointed kila wakati.
# KURA NI HAKI YAKO, ITUMIE
Uko poa mkuu. Umenena. Wanajua fika kuwa hali ndiyo hiyo ila nao wako safi pia katika kuwatia watu matumbo joto.[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Covid 19 ndiyo itakayowasaidia wasaka manadiliko wa kweli maana Burundi tayari Le dictator kashaingizwa udongoni
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Magufuli for life..ushindi wake ni 99%, mengine ni kujipa moyo tu kwenye hamna
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Na iwe hivyo. NIMEIBARIKI
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Kama ni mitandaoni basi hondoa hofu mkuu. Kwa maana mara nyingi ukisikiliza ama kusoma mitandaoni utadhani leo hii patachimbika, lakini mwisho wa yote maisha ni yale yale atakae dhulumiwa ama atakae pewa haki yake maisha yanaendelea.
 
Uzuri wetu watanzania tukisha piga kura tu tunaendelea na michakato yetu ya maisha hayo mengine huwaga hayatuhusu
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Heading mnabadilisha ila nilisha andika toka May2020.
 
Back
Top Bottom