Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu

Wasituletee mambo ya Maalim Seif huku. Analianzisha alafu anakimbia arabuni tena kwa fedha za umma na familia yake kula bata, huku anaacha watu wakikanyagana kuepuka vibomu.

Kwa safu hii 👇🏿 wanapenyea wapi wenye kudai haki au kutaka kukinukisha?

Mkuu wa jeshi la polisi, mwenye dhamana ya kutuhakikishia usalama = KANDA MAALUM

Mkuu wa Majeshi yote nchini, ´´mwenye uwezo wa kuamua kieleweke na kikaeleweka `` = KANDA MAALUM

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, mwenye dhamana ya kutangaza mshindi/mshindwi = KANDA MAALUM

Mkuu wa watoaji haki mahakamani, jaji mkuu = KANDA MAALUM

Mkuu wa waganga wa kienyeji na wachawi nchini = KANDA MAALUM
Pole sana kwa kuona mambo kwa jicho la ukabila badala ya kutazama jambo husika kwa mapana na marefu yake.
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
FOMU MOJA TU YA URAIS NDANI YA CCM INAKWENDA KUIPASUA CCM
 
Mkuu pole, kama upo Tz safiri toka Mtwara to Bukoba au Mbeya to Arusha then hoji watu juu ya CCM na Dkt Magufuli, then tupe mrejesho.

Toka mwaka jana mpaka mwezi uliopita nimetembelea mikoa mitano kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kibiashara, msiba na kikazi. Mikoa hiyo ni Morogoro, Tanga, Singida, Dodoma na manyara. Huko kote nilitaka kupata mitazamo ya wananchi, ni kweli Magufuli yuko masikioni mwao, lakini ni kwasababu anatangazwa sana. Ila ccm haiko akilini wala mioyoni mwa watu wengi, maana ccm imemezwa na jina Magufuli.

Hivyo ubashiri wangu wakati wa uchaguzi, watu watataka kusikia wapinzani wanasema nini maana wamewamiss. Magufuli atakuwa anarudia nyimbo hizo hizo, na ccm itabidi itumie kivuli zaidi cha jina Magufuli, maana yenyewe imechuja. Kwahiyo kampeni itakuwa dhidi ya walevi wa madaraka na wenye viburi, dhidi ya wanaokandamizwa kutokana na siasa chafu za awamu ya tano.
 
Mbona maandiko mengi yanawachadema humu yanaonesha kama mmeshakubali kushindwa hivi?
 
Hata Gadaff alikuwa na kauli za kiboya kama hizo
Naona mnacoment kinyonge! Au mmeshakubali kushindwa? Jipangeni nafasi bado ipo hadi oktoba mnawezabkufanya jambo mkaambulia japo viti 4 vya ubunge.
 
Jecha anafaa kabisa. Ikiwezekana achukue fomu bara lazima atapindua meza za CCM. Jecha yupo vizuri ila basi tu hapendi kujionesha.
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Umeandika upupu tu
 
Back
Top Bottom