Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
Bashiru huyu huyu aliyebariki kufukuzwa kwake!?Bashiru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru huyu huyu aliyebariki kufukuzwa kwake!?Bashiru
Pole sana kwa kuona mambo kwa jicho la ukabila badala ya kutazama jambo husika kwa mapana na marefu yake.Wasituletee mambo ya Maalim Seif huku. Analianzisha alafu anakimbia arabuni tena kwa fedha za umma na familia yake kula bata, huku anaacha watu wakikanyagana kuepuka vibomu.
Kwa safu hii 👇🏿 wanapenyea wapi wenye kudai haki au kutaka kukinukisha?
Mkuu wa jeshi la polisi, mwenye dhamana ya kutuhakikishia usalama = KANDA MAALUM
Mkuu wa Majeshi yote nchini, ´´mwenye uwezo wa kuamua kieleweke na kikaeleweka `` = KANDA MAALUM
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, mwenye dhamana ya kutangaza mshindi/mshindwi = KANDA MAALUM
Mkuu wa watoaji haki mahakamani, jaji mkuu = KANDA MAALUM
Mkuu wa waganga wa kienyeji na wachawi nchini = KANDA MAALUM
FOMU MOJA TU YA URAIS NDANI YA CCM INAKWENDA KUIPASUA CCMHivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.
Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.
Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.
Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.
Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.
Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Anagombea ccm, utake usitake
Yaa. Si huko ndani. Atasumbua.
Mkuu pole, kama upo Tz safiri toka Mtwara to Bukoba au Mbeya to Arusha then hoji watu juu ya CCM na Dkt Magufuli, then tupe mrejesho.
Bashiru huyu huyu aliyebariki kufukuzwa kwake!?
Bado si official ni porojo tu.
Mbona maandiko mengi yanawachadema humu yanaonesha kama mmeshakubali kushindwa hivi?
Wewe hata kutumwa huko umezidi sasa,Kila kitu chadema,hebu Ina aibu kwanza,na ujikite kwenye hoja Basi.Hizo ni hofu na matamanio ya Chadema tu
Uchaguzi utafanyika km kawaida na Magufuli ata score 98%
Maisha ni yale yale
Naona mnacoment kinyonge! Au mmeshakubali kushindwa? Jipangeni nafasi bado ipo hadi oktoba mnawezabkufanya jambo mkaambulia japo viti 4 vya ubunge.Hata Gadaff alikuwa na kauli za kiboya kama hizo
Wanamuogopa Membe hadi wanataka kumuua Mangula kwa sumuMembe tu anawatisha ndani ya chama, huku nje ndio kabisa huyo mtu wenu atakataliwa na wengi.
Hahahha... Yani Lisu sasa hivi ni takataka tu mbele Membe linapokuja suala la urais kwa wanachadema,!Lazima mataga mtagishwe
Wewe hata kutumwa huko umezidi sasa,Kila kitu chadema,hebu Ina aibu kwanza,na ujikite kwenye hoja Basi.
Umeandika upupu tuHivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.
Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.
Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.
Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.
Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.
Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.
Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Umekuwasha mpaka umejibu!!Umeandika upupu tu
Ya kutekana?Hizo ni hofu na matamanio ya Chadema tu
Uchaguzi utafanyika km kawaida na Magufuli ata score 98%
Maisha ni yale yale
Utoto unakusumbua tu. Tafuta riziki haya ya CCM hayatakusaidiaUmekuwasha mpaka umejibu!!