Siko hapa kuwatetea polisi, polisi wa Tanzania wana matatizo mengi sana.
Lakini, mpaka sasa sijaelewa kosa halisi la polisi kwa muktadha wa maongezi haya ni nini.
Kwa mujibu wa maelezo ya msemajinwa polisi (attached hapi juu post #6), RPC kaulizwa kama huyo binti alikuwa anajiuza. RPC akajibu hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahiki kufanyiwa hivyo.
Muandishi wa habari kaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza. Hatuoni hapo kuwa alichosema RPC na kilichoandikwa na muandishi ni vitu viwili tofauti?
Kama alichoandika msemaji wa polisi ni sahihi, muandishi akiandika hivyo kwa kutokujua au kwa kupotisha makusudi ili auze magazeti yake tu?
Naona kama kwenye thread hii, kwa hoja hii soecificalky, mpaka sasa, watu wanaoshutumu polisi wanaenda kwa mazoea na bila evidence wala fact.
Tunajua polisi wetu wanakosea sana, lakini pia tunajua kuwa waandishi wetu wa habari wanaharibu reporting sana.
Sasa, kwa kujua hayo yote na kusoma communique ya msemaji wa polisi, tunawezaje kujiridhisha polisi alisema nini na muandishi wa habari alichoandika kinaendana vipi na uhalisia wa alichosema polisi?
Muandishi wa habari ana recording ya sauti ya polisi ili kukanusha madai ya msemaji wa
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.
Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.
Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?
Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.
Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
ALITAKIWA AHOJIWE KABLA NA UFANYIKE UCHUNGUZI .NATUACHE RPC HUYU INAMAANA VYOMBOVUA UCHUNGUZI WAMESHINDWA KUTATUAJAMBOHILI AMBALO NI JEPESIKABISAAAA WASTAKIWA WAPO MTENDEWA YUPO WANAKWAMA WAPI HIZI ZINAWEZAKUA SINEMA