Bongo Dar es salaam hio! Asee hii store iko Tanzania? My wish 1 day nionje hio Dom PerignonHapa ndio nakumbuka wimbo wa prof jay
Kuna watu wana magari mpaka ya milion 200 wabongo wa kawaida baiskeli kitendawili....View attachment 1663839
Double Kick vipi?Niulize kuhusu K-Vant plz!!
Ushuani ipi hio yenye mademu wabovu mzee? Mbona kama maelezo yako contraryWakati mwingine uwa unafikiria mkuu, watu hufuata company na mademu wazuri. Mademu moto wako hizo sehemu ulizotaja, Tegeta, Kurasini, Mwananyamala, Kinondoni, Magomeni, Mbagala, Mtoni na Uswahilini kote. Ukitaka kucheka na kuchukia mademu fika sehemu za washua kama Oysterbay, Masaki, Mbezi Beach, na nyinginezo uone jinsi watoto wa kishua walivyo na sura za Kitarime au Unyakyusani....utalia. Hii ndiyo sababu ya wazee wa kishua na wenye nazo kukimbilia uswazi kwenye raha za uhakika.
use ku inbox.,nimeipenda hiyo tuMwasavako....ndauli use ku inbox
Shida ya Nyagi ni uchungu tu. Inazingua hapo tu halafu unaamka mwili umechoka kama umetoka kupigana 😂😂😂!Kwenu walevi wenzangu.
1. Kwani Lengo la kunywa pombe Ni Nini? Kama Ni kulewa tu nakushauri unywe konyagi kwani kwa sh 20000 tu utakua hoi.
2. Kama Lengo Ni kwenda bar ku admire ma barmaid konyagi itakufaa zaidi hata kudumisha ndoa konyagi is recommended. Sioni sababu mtu anajisifia eti kanywa Serengeti lite kreti halafu zote amezikojoa huko huko bar anarudi nyumbani hajalewa na jogoo kachoka mbaya. Wastage of time, money as well as your power.
Ilinichoka tu naona. Niliinywaga sanaHuenda haikukupenda maana hata mie Serengeti lager inaniumiza kichwa ila wengine kwao shwari tu.
Vladmir vodka vipombe flani lainilaini hiviVladmir huyo si putin jamani, ana pombe yake kumbe?
Ukifika home, "dahh nimekunywa maji ya elfu50"[emoji38]Sh
Shida ya Nyagi ni uchungu tu. Inazingua hapo tu halafu unaamka mwili umechoka kama umetoka kupigana [emoji23][emoji23][emoji23]!
Pombe ni starehe ila isikutese bana, sasa unaamka kichwa na mwili unauma starehe yake iko wapi?
Uzuri wa lite hulewi ila unakuwa high tu..Kisha ukiamka uko sawa kama ulikuwa unakunywa maji tu.
Umesema pombe laini laini??Vladmir vodka vipombe flani lainilaini hivi
na ni matumizi mabaya ya pombeWeee pombe ukinywea ndani hata haina ladha
Wewe sio mnywajiSometimes ni hypes tu na trend.
Wabongo wengi ni wafuasi wa trends.
Kwani ni nini kinafanya mtu atoke Tegeta au Bunju huko afunge safari mpaka Liquid bar Kurasini au 40 40 Tabata kunywa pombe wakati Pombe ni zile zile hata ukinywea ndani.
K ina maana gani?Niulize kuhusu K-Vant plz!!
Kabisa... Mchawi ni msosi wakutosha na maji mengi tatizo wengi wanavikimbilia bila kuvielewa.... Huwezi kula boflo na soda alafu uache kuiona Vladmir kama ni pombe ngumuUmesema pombe laini laini??