Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Mimi natumia chochote kisichoniumiza au kumuumiza binadamu mwingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe eeh😝 basi usijali kuhusu hilo, nilihofia labda utazidiwa maana ni kakali ila tutayajenga tu wala hautaumia!
 
Nimenunua Hennessy mtoto ili kutest mitambo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ntakupa ukajaze Valuer maana zinaendana kwa ladha tu! Sijaona tofauti!
Sichagui lakini Valeur haijawai kunisumbua.
 

Attachments

  • IMG_20201028_204402.jpg
    267.7 KB · Views: 5
Ukiniita ujue tuu silewagi, na sishibagi πŸ₯‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahah we ntakupa haka ka Hennessy na mkuu wa meza.

Ukitoboa hapo nakupa kubwa ile...
 
Sasa nikivunja kikoba changu nikanunue ipi kati ya hizo Boss ?
Wanadai hio ya 150K V.S.O.P ndio nzuri zaidi ila mi nimeanza na kale katoto kabisa ili nipate feeling yake. Ipo vizuri
 
😒 kakikoba kangu jamani nakaonea huruma, sasa chote si ndo kinaenda kuishia hapo? πŸ€”
Wanadai hio ya 150K V.S.O.P ndio nzuri zaidi ila mi nimeanza na kale katoto kabisa ili nipate feeling yake. Ipo vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…