Bora pisi mbovu inajuwa kukunja mguu pisi kali miguu haikunjikiChupa ndogo ni 40 k, haina miujiza yoyote, ni kama tu Pisi kali ageukavyo gogo kitandpisi kali miyeyesho sana bora pisi mbovu kukunja mguu tu ugovi!
Wakemia nawaonaaBapa ina ladha ya pekee mpaka leo wazungu wanajiuliza ni formula gani ilitumika kuipata konyagi hawaelewi 😁😁😁!
Haifanani na spirit nyengine yeyote hapa ulimwenguni.
Yesu wangu!Kuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000×2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
Vipi baada ya kupiga inataka mama au?Hahah tupate tangazo kutoka kwa wadhamini wetu kutoka hapo studio.View attachment 1663548
ah ah dah this end my year.,...eti wanaikumbatiaLabda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
walijipanga sana, ila formula wasipiwe kabisa hao wazungu hahahahaBapa ina ladha ya pekee mpaka leo wazungu wanajiuliza ni formula gani ilitumika kuipata konyagi hawaelewi 😁😁😁!
Haifanani na spirit nyengine yeyote hapa ulimwenguni.
Ila ni kweli pisi kali nyingi hamnaga kitu kitandani . Ila pisi za kawaida zinajua ku twerk mbayaChupa ndogo ni 40 k, haina miujiza yoyote, ni kama tu Pisi kali ageukavyo gogo kitandani
Sasa tu mix na nini kupunguza uchungu ilhali tuendelee kupata huduma ya K Vant mdau?Kama una mix energy na k vant siku za dudu kusimama zina hesabika
Boss anakunywa safari mfanyakazi anakunywa Hennessy iyo ndo bongoKunywa pombe za gharama ili tuonekane maisha bora, ili tupate ideas kubwa kubwa!
Kuna sehemu sijui ni Samaki ama Hyatt inauzwa laki 8..sina kumbukumbu ya sehemu mana ilikua story ya mtu
Na wakileta ni wanaleta wanaiimbia kabisa
Ss sijui ni kweli ama vp
wizi mtupu
sanaa Hiyo ndo raha ya pombeUnanywea bar ,muziki ,mapedeshee,misambwanda,mbuzi choma na taa za kuwakawaka lazima ulewe[emoji1787]
Mkuu apo pana onekana pana joto sanaWadhamini kidogo,....sema hivyo vitu sipigagi maana sina hela😂😂
Daah mi ningemwambia tu tuna bajeti ya 40 labda kwajili yake kwa chakula na kinywaji itakayozidi apambane . Siwez its mtu maali anisababishie hasara . Labda kama uyo mtu anakuja kunipa deal la pesa ndefu ntavumikia maana mi win win situationKuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000×2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
sijawahi kukatia moto nje ya get I, hata nilewe vipi nafika nyumbani ndo nazimaHahahahah angalia sana next time watakula mambo
Hatari sana...Mkuu apo pana onekana pana joto sana
Brother ile harufu ndio utamu wake. Ijaribu hata mara moja, utanishukuru baadae!!Hivi mnawezaje kunywa na ile harufu yake?