Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Nazungumzia uwepo wa hizo imani za dini na sio mahudhurio ya kanisani, labda ulete takwimu zenye kuonesha kwamba huko ulaya sasa watu wengi hawana dini kama North korea na kwengineko ambako watu hawana dini.

 
Mchungaji/Padri akitaka gari au nyumba mnamchangia.
Muumini/mshirika ukitaka gari au nyumba unaombewa[emoji3][emoji3][emoji3]

Aliyezileta hizi IQ yake ni ya sayari nyingine kabisa.
 
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mbona vitu vidogo tu ndugu!
Utatafuta mbadala mfano kuku au mbuzi.
Aisee Ile kitu hatari arafu si haramu kwaiyo siwezi kuwa Islamic wakati nishaitumia😂😂😂
 
Mzee unasali wapi kwa mzee mwingira au ufufuo na uzima 😂😂
 
M nakushauri tu jaribu kuusoma na Uislamu
Jaribu kuwa muelewa hivyo vyote ni chuki kwa Mungu hata katika Biblia imeandikwa hizo ni tamaa za kibinadamu.

Kwani hakuna mashekhe wanaofanya kinyume na maandiko ya Quran???
 
Ilo tatizo ni Tz nzima sa hivi nafikiri mapadre wanawaonea wivu wahubiri wa makanisa ya kilokole wakina mwamposa, gwajima, lusekelo nk na ivyo wanahisi watu wanapesa kumbe za kutoa pesa nyingi,
 
Jaribu kuwa muelewa hivyo vyote ni chuki kwa Mungu hata katika Biblia imeandikwa hizo ni tamaa za kibinadamu.

Kwani hakuna mashekhe wanaofanya kinyume na maandiko ya Quran???
Mkuu sasa hasira za nn? m kusema ivo we kimekuuma kipi?
 
Mkuu sasa hasira za nn? m kusema ivo we kimekuuma kipi?
Kimeniuma kipi?wakati nakwambia kuwa muelewa.
Umeanza huko juu kujibu dini ya haki ya kiislamu mara soma na uislamu ndo nmekujibu kuwa muelewa.
 
Ni vyema unapokuwa mtu wa imani ya dini fulani, basi ujitahidi kusoma na kuifuatilia kwa kini historia na utamaduni wa dini hiyo, kwani mambo kama hayo hayatakupa shida kabisa, haya siyo mambo ya kushangaa dini ni ushuru na biashara (hii imeonyeshwa kote, katika biblia & quran).

Huyu aliyeleta uzi, siyo mkatoliki.
 
Ndiyo maana nimesema unapokuwa muumini wa dini fulani, penda kusoma na kujua historia na utamaduni wa dini yako.

Mleta uzi hawezi kuwa mkatoliki, ila kajivika kofia ya ukatoliki kufikisha ujumbe wake.
 
Ndio maana nchi zilizoendelea makanisa yamegeuzwa museums watu walishashtuka siku nyingi kwamba huu wa sasa ni upigaji. Huku kwetu ndio bado watu wameng'ang'ania ila taratibu tutakuja kuelewana tuu.
Yes Bro ni suala la Time, First Time Ughaibuni nikasema Niende Church, Daah mzee Bonge jengo ila tulikuwa wachache sana; SO nadhani Kwa Africa ni suala la Muda tu, pia watu wanafunguka sana, hata hawa wa kwa manabii baadae wataona wanaibiwa hivyo nao wataona bora watulie tu waendelee na Maisha.
 
Kimeniuma kipi?wakati nakwambia kuwa muelewa.
Umeanza huko juu kujibu dini ya haki ya kiislamu mara soma na uislamu ndo nmekujibu kuwa muelewa.
bora ninyamaze mna ata sikuelewiii
 
Siyo lazima utoe sadaka ya cash. Nimeona waumini wengine wanaleta katoni 2-3 za maji ya Hill, miche ya sabuni ya kufulia, juisi, hata kuku mzima, etc. Lakini hii ni trend mpya kwa Wakatoliki. Wameiga kutoka Walutheri.
Kuleta hizo katuni za maji ni matoleo, tumefanya hayo miaka nenda rudi.

Tunachohoji ni kwa nini sasa hivi makanisani hatuendi kushibishwa neno badala yake michango ndio imetawala?

Hivi mjuwe tuna akili timamu aisee.
 
Ndiyo maana nimesema unapokuwa muumini wa dini fulani, penda kusoma na kujua historia na utamaduni wa dini yako.

Mleta uzi hawezi kuwa mkatoliki, ila kajivika kofia ya ukatoliki kufikisha ujumbe wake.
Wewe huna akili, kama kuanzia post ya kwanza mpaka hii ya mwisho hujanielewa basi huna akili kichwani.
 
Kuleta hizo katuni za maji ni matoleo, tumefanya hayo miaka nenda rudi.

Tunachohoji ni kwa nini sasa hivi makanisani hatuendi kushibishwa neno badala yake michango ndio imetawala?

Hivi mjuwe tuna akili timamu aisee.
Nafikiri Wazungu Wamisionari walipondoka na kuwaachia Watanzania, na misaada kutoka sadaka za Waumini wa Kizungu zikapungua, na pengineyo kukaauka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…