Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Ahsante kiongozi wangu umeeleza vyema kabisa itoshe sasa kuukubali ukweli Roman Catholic are satanic believers
 
Si uache kwenda wewe unaenda kufanya nini?

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Ameen

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa hapo huna unachoweza kuwabadilisha wakatoliki hapo ni wewe kubadilika tu acha kuhudhuria kanisani na ikikupendeza silimu kabisa kuna ndugu yangu ameselimu sasa hivi ni muislamu ni mwaka wa 3 sasa na maisha yanasonga mbele kama kawaida.
Ukiwepo watatoa sadaka usipokuwepo watatoa sadaka maradufu hakuna tofauti cha msingi ni wewe kubadilika tu ufuate direction yako

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Roman Catholic Church lina changamoto za kiuchumi dunia nzima:

1. Kupungua kwa Waumini/Wachangiaji kindakindaki hususan Ulaya

2. Kuongezeka kwa kesi/matukio ya unyanyasaji wa kingono uliofanywa na Makasisi/Viongozi ktk miongo hii mitatu imeigharimu kwa kiasi kikubwa Kanisa kifedha

3. Kushuka ushawishi wa Kanisa Serikalini (special case in Tz) Miaka ya 2000 kurudi nyuma RC walikuwa na mkono wa juu ktk miradi mingi iliyokuwa ikishirikiana na Serikali ya Tz ukilinganisha na sasa
Viongozi wa RC walikuwa na ulwa mkubwa Serikalini, ndio taasisi iliyo ikiongoza kwa tax exemption

Nakumbuka ktk miaka hiyo ukienda pale TEC Kurasini mnakutana hata taasisi 4 tofauti za Serikali na SU semina zinafanyika pale + accommodation + meals

4. Kuongezeka kwa ushindani toka Makanisa mengine

5. Kuongezeka kwa UELEWA/KUJIELEWA kwa Waumini. Miaka ya zamani ilikuwa ni aghlabu kukuta Muumini wa RC akifunguka kama mtoa uzi alivyofunguka
Ilifikia stage baadhi ya maeneo vijijini Waumini wa RC watu wazima walikuwa wanapanga foleni kuchapwa viboko kwa sababu ya kutotimiza baadhi ya amri za Kanisa, hapa Tz tuna incidences zaidi ya 2 ambazo zili trend miaka ya hivi karibuni

Wakatabahu
 
Siyo lazima utoe sadaka ya cash. Nimeona waumini wengine wanaleta katoni 2-3 za maji ya Hill, miche ya sabuni ya kufulia, juisi, hata kuku mzima, etc. Lakini hii ni trend mpya kwa Wakatoliki. Wameiga kutoka Walutheri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu aliyeanza kwenda kanisani jana utamjua
 
Mkuu Matola unadhani watu huwa wanaanzisha "dini" ili mwende pale kuzurura kisha kutoka tu hivi hivi?. Waasisi wa dini ni miongoni mwa Super intelligent people,wanaanzisha dini na wanakuwa na mikakati endelevu ya kuwafunga(kuwapumbaza) waumini kwenye hizo dini ili wawe watumwa wao milele.

Imagine mtu anazaliwa tu anakutana na ubatizo,kakua kua kidogo anakutana na sijui kumnyo na vipaimara,hajakaa sawa kafungishwa ndoa na mahabuba wake hapo hapo,kafa kazikwa na dini hiyo hiyo. Yaani mtu anashikiliwa tangu kuzaliwa hadi kufa kwake yeye na kizazi chake. Kunasuka hapo ni mpaka Neema ya Mungu katika Kristo Yesu iingilie kati.
 
Hizo fedha wanapelekaga wapi ukizingatia jamaa wanasema hawaruhusuwi kuoa na wenzao hawaruhusiwi kuolewa?
Hivi wanakatwaga VAT kweli? nina miaka 3 sijasali kanisa katholiki ndiyo kanisa langu ....

na nikidanchi wasipo nizika kwa ibada waniache hapohapo niwanukie
 
Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?
Wala usiteseke kwa kuandika uharo wako huu usio na ukweli hata kidogo, hama wewe, mkeo na vitoto vyako nenda kwa mwamposa, gwajima, kakobe kakanyage, mafuta, chumvi namaji kwa sana na michango yote ya kule ambayo ni mara 50 ya Roman au Kkkt katoe huko. usituchoshe! RC tupo hapa tulipo kutokana na michango yetu!
 
Pilipili kichaa haiwezi kuniwasha mimi, nyani haoni kundule, unauona utapeli wa kina Mwamposa ila utapeli unaofanywa na kanisa lako unafumba macho, huu ni unafki.
 
Umedadavuwa vyema na ni kweli unalijuwa kanisa letu vizuri.

Sasa swali ni kwamba hiyo miradi yote inasaidia vipi kanisa ikiwa matumizi karibu yote ya kanisa wanacover waumini?
 
unataka wazungu wakabane wakuleteeni
 
Hivi wanakatwaga VAT kweli? nina miaka 3 sijasali kanisa katholiki ndiyo kanisa langu ....

na nikidanchi wasipo nizika kwa ibada waniache hapohapo niwanukie
hhhhhhhhh ukiwanukia ata manispaa watakuzika
 
Yaani ili swala nilijua mimi peke yangu
kuna siku nilikua naongea na brother mmoja wa katoliki na yeye alikili michango imekua mingi alafu najiuliza hivi biashara zao kama shule na hospital hayatoshi kujiendesha manake tunachangishwa hadi mchango wa gari la padri
 
Mnataka kanisa liendelee na kuwa na vitu vya kisasa kama magari nk hivyo vitu vitatoka wapi?

Kanisa katoliki walizoesha waamini wao kuishi kwa kubebwa na misaada toka kwa wazungu bila kuwafunza wenyewe kujitegemea.
Sasa hivi mkiambiwa mtoe fungu la kumi ni shida wakati biblia inawataka hivyo.
Acheni kulalamika hivi mnajua hao mapadri na masista nao wanataka kuishi maisha mazuri kama ninyi waamini.
Au kwa kuwa wao hawana watoto mnadhani hawana mioyo ya kutamani?
Toeni sadaka nyingi ili mbarikiwe acheni ubahiri usio na maana.
 
Nadhani mtoa mada bado uko enzi za wafadhili wa kanisa. Kwasasa kanisa linajiendesha,kama ufadhili unapatikana kwa bahati sana. Hivyo usipotoa unasababisha anguko la kanisa. Tutoe,tujenge vyakwetu. Wakati wakufanyiwa haupo tena.
Kutoa siyo jambo baya sema kitu watu tunachokataa ni namna wanavyo endesha ibada yani makanisa kwasasa yamekuwa kama SACOS
kila vikao mnavyo kaa ni vyakutoa tu .... minada inayoendelea niyakipigaji kuliko kawaida neno la MUNGU tunapatq kwa kiwango kidgo sana nako wanasisitiza kutoa ....MUNGU aturehemu kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…