Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
HapanaKwani wasipokuzika wao ndio wanaamua kwenda paradiso au motoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaKwani wasipokuzika wao ndio wanaamua kwenda paradiso au motoni?
Hizo ndizo bhangi za madhehebu tunazovutishwa waumini.Ukifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya
Nadhani pia hii inatokana na kuwa hatujawekewa vikwazo au kulazimishwa kutoa ndio mana tunakuwa wagumu.Wakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.
Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Hii kaliKuna ile ya kuwataka waumini waliofiwa na wapendwa wao eti watoe sadaka kubwa kubwa kadri wawezavyo kama kikokotoo cha kuwawezesha hao wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki kupata ahueni ya maisha huko kaburini. Yaani mimi hii haijawahi kuniingia akilini kabisa.
Well said mkuu.Mkuu unaweza nisaidia sadaka hizi tisa zilikua zipi na mlitoa kwa wakati gani?. Ili ni muhimu usiache kujibu.
Mimi kwangu ilishabaki na sali sala binafsi nyumba. Ikiwa tofauti mara moja moja naenda kanisani nasali na kuondoka. Ukweli michango imekua mingi imefika hatua hadi kanisa wanajisajili kulipa kwa mpesa au tigo pesa. Huwa siaangaiki ata na mchango mmoja. Utasikia kanisa halijaisha, shule ya chekechekea, nyumba ya sisters.
Swala la zaka sijawai toa na sitarajii kama ntakuja kutoa. Ile asilimia 10 ya kipato cha mtu inatofauti gani kodi wanayotoza TRA katika kila faida anayopata mtu. Ni onyonyaji.
Nafikiri hofu ya wengi huwa wana hofu padri hasipokuja siku ya maziko yako. Kwangu ili si hofu maana ntakua mfu sitojua walinitupa au walinivisha nguo gani. Nani alikuja msibani nani hakuja
Hapa ndio naona dini wakati mwingine ni mchongo. Haiwezekani wao wakitaka gari aua nyumba tuwachangie. Ila sisi wauumini tukitaja gari au nyumba tupige magoti tuombe sana.
Maana ake iyo tuiite Ni tozo ya ukatoriki[emoji28]Ukishaingia mfumo wa jumuia lazima utowe pesa ya kuwa mkatoliki kila mwezi.
Pili harambee za kipuuzi na sadaka nyingi kwenye ibada inaondoa system ya kikatoliki ambayo tulizoea ibada ya misa ya jumapili ni lisaa limoja na nusu tu na ikizidi kwa special case ni masaa mawili tu, sasa kwa huu upumbavu ulioanza ibada inakwenda mpaka masaa matatu, misa ya kwanza mnaingia saa 12 asubuhi mnatoka saa mbili na kitu.
Nahs bujibuji aliwahi kuuleta zaman kdgNilikuwa najiuliza kwanini uzi kama huu haujawahi tua JF!!?? at last umekuja.........
Point[emoji106]Ni vigumu kwa vijana wa kizungu kuwaswaga kama tunavyofanyiwa waumini wa Tanzania.
Uzuri wa wazungu wana reasoning, ndio maana hata walipoleta hii dini walikuwa wanajenga wao makanisa na hospitali target yao ilipotia wakavuta end break.
Sasa ajitokeze mkatoliki hapa leo anieleze miradi mikubwa ya kanisa chuo kikuu cha SAUT mashule, mahospitali mahostel yana faida gani kwetu kama waumini tunaendelea kukamuliwa hivi?
Maana hata Martin Luther alipojitenga na Vaticano na yeye kuna mambo ya kipuuzi yalimkwaza.
Ha ha ha.....Mavuno nadaiwa laki mbili mwisho mwezi wa sita.....
Nadaiwa zaka sijarudisha bahasha hii lazima nitoe.......
Leo jpili lazima nizame kanisani na sadaka 3
Nadaiwa laki mbili mchango wa gari la Paroko...nili-pleadge......
nisipotekeleza haya nitaonekana sio mkristo
Ha ha ha.....Kuna ile ya kuwataka waumini waliofiwa na wapendwa wao eti watoe sadaka kubwa kubwa kadri wawezavyo kama kikokotoo cha kuwawezesha hao wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki kupata ahueni ya maisha huko kaburini. Yaani mimi hii haijawahi kuniingia akilini kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3] nyumba ya kufikia bikira maria! Huo wizi wa mchana kweupe kabisa.Sisi parokia yetu imezaa parokia tatu, unaweza kuelewa machozi na damu tuliyopitia.
Tuna nyumba ya masista, tuna nyumba ya mapadri ya zamani, ikajengwa ghorofa likaja hilo ghorofa likaonekana dogo utadhani mapadre wetu ni matembo tukajenga ghorofa nyingine mpya kubwa.
Tumemnunulia paroko Prado, tuna dispensary tuna maternity tuna Ambulance tuna nursery school, kama hiyo haitoshi kuna nyumba nne jirani tumezinunuwa tumevunja ndio umeanza upuuzi eti tujenge nyumba ya mama bikira Maria.
Yani the way nilichojifunza hakuna kipindi mtaachwa mpumuwe ni kutwishana mizigo mwaka mzima.