Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Sasa utamsafisha vp Huyo Kiongozi wako na hizo tuhuma za kimbari?

Hizo tuhuma ni fabrication ya hao wafaransa,na kwakua hazina uzito wa evidence ndio maana hazina makali,nahiyo waliileta ilikuonyesha double genocide tena hiyo haijawahi kutokea rwanda,kulikua one jenocide ya watusi.
 
This is a ----.-------- mmoja anajaza server kwa hisia zake
 


Hakuna hicho kitu kijana! Wewe ni mgeni kwa Tz.
 

watusi kwa kujipendekeza hamjambo hamuoni hta aibu kujifananisha na wayahudi?
 

Kuna wa.ji.nga sana, nawewe ni mmoja wao. Speech moja ya J.K mlianza kumwomba radhi. Sasa leo mmekuja na kujilinganisha na israel. Haya kama nyie mnaweza, lianzishen tu muone kama hamjawa sehem ya tz
 
Pengine wanaitaka kigoma,na vile iliwahi kuwa chini ya wabelgiji.

Hizo ni fikira potofu zilizo pandikizwa na ant-tutsi,wakisema mambo ya hima empire,sasa tutasema hii move ya kikwete ni ya kuanzisha hutu-empire?najiuliza sipati jibu hii hima empire ilitokea wapi?kweli kaline hii unaweza tawala nchi kimabavu?huo ni uongo kabisa hakuna kitu kama tutsi empire,hii ni agenda ya ant-tutsi tu.Rwanda na beligium wapi na wapi bwana labda ungesema beligium ndio inataka kuchukua kigoma.
 
Hizo tuhuma ni fabrication ya hao wafaransa,na kwakua hazina uzito wa evidence ndio maana hazina makali,nahiyo waliileta ilikuonyesha double genocide tena hiyo haijawahi kutokea rwanda,kulikua one jenocide ya watusi.



Wewe subiri muda ukifika apelekwe Uhoranzi mahakamani!
 
.... NON SENSE!....arguing with you is just wastage of time!
 

tanzania tunajiamini na tuna jeshi imara kivitendo na si longolongo kama watusi wa rwanda, m23 pamoja na makelele mengi na matusi ya nyangau kagame tuliwatoa kamasi hapo goma, tunawasubiri mje kwa awamu nyingine tuwfagie mende hadi kigali
 
Hakuna hicho kitu kijana! Wewe ni mgeni kwa Tz.

Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.
 

Huo uisraeli wa Rwanda ulianza lini:

1. Miaka zaidi ya 400 ya utawala wa kifalme wa kitutsi?
2. Utawala wa wahutu baada ya mapinduzi 1959 mpaka 1994?
3. Au imeanza kuwa israel baada ya watutsi (wakiongozwa na kagame) kupindua wahutu mwaka 94?
 
Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA
 
Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.



Hizo ni propaganda zenu tu!

Lkn Kiongozi wako anaifahamu Tz vzr ndio Maana halali anakua na Mashaka mengi!
 
Hitler was like that ...he neglected his germany high military command advise and sent his troop to the then USSR...which eventual lead to his downfall...we have to listen to the advises of adviser
 
Habari hii sio ya kubeza. Inaonekana hawa jamaa wametuchunguza sana. Kazi ipo.
 
mhh kwa hiyo hawa jamaa walifika hapa kwetu na wakatuchunguza vya kutosha, usikute mzee othman aliwapa data hawa watu.. Huenda hatuko salama kama tunavyojidanganya. Hao usalama wa taifa kumbe hawaaminiani na kila mtu anamaono yake.. kazi ipo

Hakuna kitu kama hicho, ni propaganda za kizushi tena za hali ya chini sana ili kuchonganisha Raisi na TISS. Ukweli ni kwamba huo uzushi umetengenezwa kwa msaada wa Luteni Kanali Tinka ambaye ni afisa katika ubalozi wa Rwanda hapo Dar es Salaam. Watutsi kuna kitu wanakitafuta, hao jamaa ni hatari sana; wanaweza kui-surprise Tanzania!
 
kiukweli rwanda kuna kitu wanatutafuta sio bure,hawawezi kutuzushia maneno yasiyo na ukweli kisa tu walipewa ushauri na rais wetu,kwa hilo hapana rwanda lazima mtuheshimu kama nchi iliyo wasaidia sana kulejesha utulivu nchini mwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…