Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Sasa utamsafisha vp Huyo Kiongozi wako na hizo tuhuma za kimbari?

Hizo tuhuma ni fabrication ya hao wafaransa,na kwakua hazina uzito wa evidence ndio maana hazina makali,nahiyo waliileta ilikuonyesha double genocide tena hiyo haijawahi kutokea rwanda,kulikua one jenocide ya watusi.
 
This is a ----.-------- mmoja anajaza server kwa hisia zake
 
Mnaelekea pagumu,tanzania ilikua nchi ya amani bila ubaguzi sasa huyo shetani wa ubaguzi na ukabila kawaingilia,sasa mumeanza kusakama waha,wahangaza,wahaya,wanyambo eti ni watusi,poleni sana,kwa ushauri wangu hilolitakua kosa kubwa na ambalo mtajutia,kwani mtaipoteza amani na kuirudisha itawagharimu sana,mungu apushilie mbali huyo pepo wa ukabila.


Hakuna hicho kitu kijana! Wewe ni mgeni kwa Tz.
 
hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi mungu anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, mungu anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na nato wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.

watusi kwa kujipendekeza hamjambo hamuoni hta aibu kujifananisha na wayahudi?
 
Kiongozi umenena vema, Rwanda wako vizuri sanai na wana field ya kivita kwanzia jeshi hadi wananchi, sis hapa hata hao wajeda baadhi tu ndio wana field ya kivita kwa watanzania tulio weng hatujui vita ni nn, laiti cku moja Tanzania ikipaniki ikaenda kuivamia Rwanda basi naamini kabisa ile mikoa ya Kagera na Kigoma tutawasahau.
Over

Kuna wa.ji.nga sana, nawewe ni mmoja wao. Speech moja ya J.K mlianza kumwomba radhi. Sasa leo mmekuja na kujilinganisha na israel. Haya kama nyie mnaweza, lianzishen tu muone kama hamjawa sehem ya tz
 
Pengine wanaitaka kigoma,na vile iliwahi kuwa chini ya wabelgiji.

Hizo ni fikira potofu zilizo pandikizwa na ant-tutsi,wakisema mambo ya hima empire,sasa tutasema hii move ya kikwete ni ya kuanzisha hutu-empire?najiuliza sipati jibu hii hima empire ilitokea wapi?kweli kaline hii unaweza tawala nchi kimabavu?huo ni uongo kabisa hakuna kitu kama tutsi empire,hii ni agenda ya ant-tutsi tu.Rwanda na beligium wapi na wapi bwana labda ungesema beligium ndio inataka kuchukua kigoma.
 
Hizo tuhuma ni fabrication ya hao wafaransa,na kwakua hazina uzito wa evidence ndio maana hazina makali,nahiyo waliileta ilikuonyesha double genocide tena hiyo haijawahi kutokea rwanda,kulikua one jenocide ya watusi.



Wewe subiri muda ukifika apelekwe Uhoranzi mahakamani!
 
Hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi MUNGU anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, MUNGU anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.
.... NON SENSE!....arguing with you is just wastage of time!
 
kiongozi umenena vema, rwanda wako vizuri sana na wana field ya kivita kwanzia jeshi hadi wananchi, sis hapa hata hao wajeda baadhi tu ndio wana field ya kivita kwa watanzania tulio weng hatujui vita ni nn, laiti cku moja tanzania ikipaniki ikaenda kuivamia rwanda basi naamini kabisa ile mikoa ya kagera na kigoma tutawasahau.
Over

tanzania tunajiamini na tuna jeshi imara kivitendo na si longolongo kama watusi wa rwanda, m23 pamoja na makelele mengi na matusi ya nyangau kagame tuliwatoa kamasi hapo goma, tunawasubiri mje kwa awamu nyingine tuwfagie mende hadi kigali
 
Hakuna hicho kitu kijana! Wewe ni mgeni kwa Tz.

Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.
 
Hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi MUNGU anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, MUNGU anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.

Huo uisraeli wa Rwanda ulianza lini:

1. Miaka zaidi ya 400 ya utawala wa kifalme wa kitutsi?
2. Utawala wa wahutu baada ya mapinduzi 1959 mpaka 1994?
3. Au imeanza kuwa israel baada ya watutsi (wakiongozwa na kagame) kupindua wahutu mwaka 94?
 
Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA
 
Kila kitu kina dalili zake,kama mmefikia kuanza kuwahisi baadhi ya wabunge,police,wanajeshi,walimu,madaktari eti ni wanyarwanda na kuwaona kama threat,basi hapo ndio moto utaanzia.



Hizo ni propaganda zenu tu!

Lkn Kiongozi wako anaifahamu Tz vzr ndio Maana halali anakua na Mashaka mengi!
 
Hitler was like that ...he neglected his germany high military command advise and sent his troop to the then USSR...which eventual lead to his downfall...we have to listen to the advises of adviser
 
Habari hii sio ya kubeza. Inaonekana hawa jamaa wametuchunguza sana. Kazi ipo.
 
mhh kwa hiyo hawa jamaa walifika hapa kwetu na wakatuchunguza vya kutosha, usikute mzee othman aliwapa data hawa watu.. Huenda hatuko salama kama tunavyojidanganya. Hao usalama wa taifa kumbe hawaaminiani na kila mtu anamaono yake.. kazi ipo

Hakuna kitu kama hicho, ni propaganda za kizushi tena za hali ya chini sana ili kuchonganisha Raisi na TISS. Ukweli ni kwamba huo uzushi umetengenezwa kwa msaada wa Luteni Kanali Tinka ambaye ni afisa katika ubalozi wa Rwanda hapo Dar es Salaam. Watutsi kuna kitu wanakitafuta, hao jamaa ni hatari sana; wanaweza kui-surprise Tanzania!
 
kiukweli rwanda kuna kitu wanatutafuta sio bure,hawawezi kutuzushia maneno yasiyo na ukweli kisa tu walipewa ushauri na rais wetu,kwa hilo hapana rwanda lazima mtuheshimu kama nchi iliyo wasaidia sana kulejesha utulivu nchini mwenu.
 
Back
Top Bottom