Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Mkuu tanzania iko ukanda gan labda??

Nani amesema tz ndo kilele cha natural resources Africa?
Tz inajilinganisha na nchi jiran za Great lake region.
Ukiitoa Kongo Tz is next kwa natural resources katika nchi za maziwa makuu…..

Ukanda doesn't change conservative nature ya wabongo.

Kuna nchi hazina rasilimali na bado ni tajiri, utajiri sio rasilimali tu. Kenya wametuacha mbali japokuwa tuna rasilimali zaidi yao.

Best gold refineries duniani zipo Swiss ila Swiss haina hata shimo moja la kuchimba dhahabu.

Inferiority complex waliyonayo wabongo inasababishwa na ujinga ndo maana JPM alikua anawaita wanyonge. Wanajiweka kwenye box wenyewe wakidhani wao tu ndo matajiri na kila mtu anawaanglia, dunia ishaondoka huko. Unaweza kuwa na kila kitu na bado ukawa fukara.
 
View attachment 2897102

If you think TZ is a top gold-producing country you must be delusional.

Nchi zote hizo zinazalisha gold na they're not as delusional kama wabongo. Wabongo mnaamini TZ tu ndo ina gold na rasilimali zote, mnaamini kila mtu anaitamani bongo kumbe watu hawaijui kabisa.

Imagine Ghana, SA au Nigeria ambao ni top producers wa karibu kila kitu from gold, oil, gas to entertainment wangekua delusional and conservative kama wabongo wangekua wapi? Ndo kwanza wanakaribisha wageni, wanatoka nje ya nchi zao na wana uraia pacha. Nenda bongo sasa ni ujinga ujinga tu from a common Joe to the top sherrif. Mawazo mgando wote "kila mtu anatuonea wivu fyoko fyoko fyoko."
Ya nini kuhangaika na nchi yenye fyoko fyoko? Si muende ambako hakuna fyoko fyko?
 
Ukanda doesn't change conservative nature ya wabongo.

Kuna nchi hazina rasilimali na bado ni tajiri, utajiri sio rasilimali tu. Kenya wametuacha mbali japokuwa tuna rasilimali zaidi yao.

Best gold refineries duniani zipo Swiss ila Swiss haina hata shimo moja la kuchimba dhahabu.

Inferiority complex waliyonayo wabongo inasababishwa na ujinga ndo maana JPM alikua anawaita wanyonge. Wanajiweka kwenye box wenyewe wakidhani wao tu ndo matajiri na kila mtu anawaanglia, dunia ishaondoka huko. Unaweza kuwa na kila kitu na bado ukawa fukara.

Ok mkuu,,,,
Lakini Kenya Tutaiacha mbali na haitaweza kutukuta tena.
Hii mentality ilikuepo kutokana na sera yetu ya ujamaa but haina maana ndo mbaya.
Usibabaike na Gdp za karatas mkuu….
Maisha ya wakenya n magumu mno…especially kwa wakenya waliowengi
Kinachoipa Nairobi advantage ni kuwa na makampuni mengi kuliko dodoma lakin pia wenzetu wanawekeza kwene technologia ssi tuna phobia na technology
 
Ok mkuu,,,,
Lakini Kenya Tutaiacha mbali na haitaweza kutukuta tena.
Hii mentality ilikuepo kutokana na sera yetu ya ujamaa but haina maana ndo mbaya.
Usibabaike na Gdp za karatas mkuu….
Maisha ya wakenya n magumu mno…especially kwa wakenya waliowengi
Kinachoipa Nairobi advantage ni kuwa na makampuni mengi kuliko dodoma lakin pia wenzetu wanawekeza kwene technologia ssi tuna phobia na technology

Hoping for the best, mkuu. Godspeed.
 
Huu ndio mrejesho wanaotaka, kuwa wanahofiwa.
 
Njoo mafia huku wamejazana kibao mpaka Tena kina mama kagame ashaingia hatuwezi Tena tuna mikwara Kama jeshi la Israel Ila wap
 
Ujamaa uliwajaza wabongo ujinga na inferiority complex. Mnaogopa kila kitu hadi vinchi vidogo kama ghetto. Rwanda mnaiogopa kwa lipi hasa? Ujinga tu.

Mnaogopa wageni kuja nchini, mnaogopa kwenda nje, mnaogpa uraia pacha, mnaogopa kushindana globally, mnaamini hamuwezi nyie ni watu wa kuibiwa na kuonewa tu. The inferiority complex of the highest order.
Wanogopa na Kiingereza hilo umelisahau
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchini DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Afrika tukiacha kuchukiana hususan sisi zao la CCM tutaweza kupiga hatua nyingi sana kwa muda mfupi.

Hapa tumekaa kulishwa maneno yenye kujaa kila aina ya chuki kwa sababu tu PK ameweza kufanya yale ambayo viongozi wengi Afrila wameshindwa.

Tujiulize na kujifunza aliwezaje. Kupambana kumporomosha ni kuiporomosha Rwanda. Tusirudi kwenye zile siasa zilizozalisha mauaji ya Kimbari.

Kagame ana maamuzi magumu yenye akili kwa ajili ya Taifa lake ambalo ni sehemu ya Afrika.

Maguvu yetu na akili tumeyaelekeza kwenye kurogana na kuuana ili kushinda chaguzi na kupata teuzi. Hatufikirii kuwa nchi imetoboka haina mbele wala nyuma. Yaani tupo tupo tu.

Kumsema na kumtungia jina baya Kagame hakutusaidii popote. Tukae chini tuchukue mazuri yake na tushindane naye kimantiki ya maendeleo na mabadiliko.

Tuache ujinga
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchini DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Kwani Marekani si ndo kawafundisha issue za demokrasia, kwanin muikubali demokrasia afu mumkatae kagame huku mkijua issue ni win win situation
 
Wahutu wanasubiri wa kuliamsha tu, yajirudie ya nduli na Gaddafi
Mnaeza mkawa wengi afu wote wajinga, ni ngumu kupata changes. Tusiende mbali mfano mzuri ni wafuasi wa CCM ni wengi afu wote wajinga tusitegemee lolote nchi hii.
 
Back
Top Bottom