GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Unatakiwa uwe na Mshambuliaji ambaye ukimuona tu Usoni na anavyocheza unajua tu kuwa Goli lipo muda wowote ule hata akabwe vipi na kweli hakosi kama Fiston Mayele wa Yanga SC.
Na utakuwa ni Mwendawazimu wa kutukuka kama unategemea Mishambuliaji yako ya hovyo ambayo kwanza haijui kufunga, pili inarogana sana na tatu hata ikibahatisha kufunga Magoli mepesi hata kushangilia tu kimvuto haijui.
Na wiki hii kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumapili kuna uwezekano wa ajali ya kimchezo yaweza kutokea kwa mtu ama kuokota moja moja au hata kuokota Moja na kuziacha zote tatu Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Pwani ya Bahari ya Hindi.
Mtanuna na Kunichukia hadi mpasuke!!
Cc: CARDLESS
Na utakuwa ni Mwendawazimu wa kutukuka kama unategemea Mishambuliaji yako ya hovyo ambayo kwanza haijui kufunga, pili inarogana sana na tatu hata ikibahatisha kufunga Magoli mepesi hata kushangilia tu kimvuto haijui.
Na wiki hii kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumapili kuna uwezekano wa ajali ya kimchezo yaweza kutokea kwa mtu ama kuokota moja moja au hata kuokota Moja na kuziacha zote tatu Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Pwani ya Bahari ya Hindi.
Mtanuna na Kunichukia hadi mpasuke!!
Cc: CARDLESS