Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Point hii,Manen mengine aisee yameongozwa na hisia na wivu. Asa kama duniani kungekuwa kuna mabeki wanaoweza kufanya marking kwa asilimia mia moja basi tusingeshuhudia timu kufungana. Una laumu mabeki wetu hawajui kufanya marking. Tutajie kuna timu gani duniani ambayo mabeki wake wanaweza fanya marking.
Ili mradi na yeye akosoe