Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hili kosa hata mimi limenishangaza.namna gani hapa. Mleta mada kachanganya ID zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kosa hata mimi limenishangaza.namna gani hapa. Mleta mada kachanganya ID zake
Hilo sio kosa bali ni kuumbuliwa kwa Multiple IDsHili kosa hata mimi limenishangaza.
Teh teh 😂😂 vituko vya JFHilo sio kosa bali ni kuumbuliwa kwa Multiple IDs
Kafanyaje mbona kama sijaelewa hivi.Hilo sio kosa bali ni kuumbuliwa kwa Multiple IDs
Soma mpk mwishoLugha imebadilika tena mara hii?😊😊
Kumbe kahamia Yang?[emoji3][emoji3] genta with IDs
Huyu jamaa ni bipolar ..pyschopath mzoeee tu ana ma ID kama 40 hivi sasa zimekuwa merged, anatamani simba ifungwe ili aonekane genius kwamba anajua kuona futureKafanyaje mbona kama sijaelewa hivi.
Hapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZINGKumbe kahamia Yang?
eti kanuna,unanunia wanaume tena Simba Sc die hard fans 🤣🤣🤣🤣Hapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZING
Huyu mtu ukimkuta kwenye jukwaa la siasa anavyojifanya usalama wa taifa na mtu wa karibu na kagame ndo utafurahi na roho yakoeti kanuna,unanunia wanaume tena Simba Sc die hard fans 🤣🤣🤣🤣
Huyo nilishagaweka Ignore..maana ukimpinga tayari matusi. Atakua na shida mahaliHapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZING
kuna comment mda si mrefu katoka kuisifia simba kwa ID ya ItovaniloAibu hii 😂😂 Itovanilo kumbe wewe GENTAMYCINE
Mwezi mchanga huyokuna comment mda si mrefu katoka kuisifia simba kwa ID ya Itovanilo
Tafadhali Jamiiforums Founder Maxence Melo kwa Kushirikiana na Moderators wako hapa nawaombeni kwa Ujuzi wenu mkubwa mlionao kama hii ID ni yangu kama ninavyohusishwa nayo naomba mnipige PERMANENT BAN hapa kwani GENTAMYCINE nimeshachoka 24/7.kuhusishwa na ID's mbalimbali hapa.Aibu hii 😂😂 Itovanilo kumbe wewe GENTAMYCINE
Unaye mu ignore unaweza tena Kumjadili au hata Kumfuatilia? Pumbavu.Huyo nilishagaweka Ignore..maana ukimpinga tayari matusi. Atakua na shida mahali
Hii ID mbona kama ya bwana yule?Kuna timu ya Yanga
Kuna benchi la ufundi la Yanga
Kuna wachezaji wa Yanga
Kuna Fiston Mayele mmoja wa Yanga
Viwango vya salender bridge na vitu vizuri vyote vya hapa Dar es salaam