Kuna Klabu ikikusanya Washambuliaji wake wote wa 'Bei Chee' bado tu hawamfikii Fiston Mayele

Kuna Klabu ikikusanya Washambuliaji wake wote wa 'Bei Chee' bado tu hawamfikii Fiston Mayele

Kumbe kahamia Yang?
Hapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZING
 
Hapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZING
eti kanuna,unanunia wanaume tena Simba Sc die hard fans 🤣🤣🤣🤣
 
Walishakuwepo akina Tambwe, kiiza, Okwi na mzee wa kuwajaza.

Achana na huyu Kagere, Boko na Mugalu. Zile ni volcano, muda wowte zinaweza kukulipukia.

Mayele atulie anamisimu kadhaa ya kuonyesha ubora wake.
 
Hapana juzi kabishiwa kwamba simba itaingia robo fainali na yeye alisema simba itatolewa basi kakasirika kuanzia siku hiyo anatumia ma ID yake 40 kuitukana simba na kusema itafungwa ili ikitokea asifiwe shida yake kubwa yeye ni kuonekana ana akili nyingi sana kuliko kila mtu..YAANI JITU LA KUPENDA MISIFA BWEGE FULANI HIVI AMAZING
Huyo nilishagaweka Ignore..maana ukimpinga tayari matusi. Atakua na shida mahali
 
Aibu hii 😂😂 Itovanilo kumbe wewe GENTAMYCINE
Tafadhali Jamiiforums Founder Maxence Melo kwa Kushirikiana na Moderators wako hapa nawaombeni kwa Ujuzi wenu mkubwa mlionao kama hii ID ni yangu kama ninavyohusishwa nayo naomba mnipige PERMANENT BAN hapa kwani GENTAMYCINE nimeshachoka 24/7.kuhusishwa na ID's mbalimbali hapa.

Na sijui ni kwanini Jamiiforums Moderators wametumia Maudhui ya Headline ya Uzi wangu ambao niliuanzisha na kumpa huyu Member Itovanilo kiasi cha Kuwachanganya Watu na naanza Kuhusishwa nayo.

Nitashukuru hili likifanyiwa Kazi haraka.

Cc: OKW BOBAN SUNZU, GANGA ZUMBA, njaakalihatari, Kalpana, ukikaidi utapigwa2, kalisheshe , vibertz , Proved , Lokonga ,Salary Slip
 
Back
Top Bottom