Point hii,Manen mengine aisee yameongozwa na hisia na wivu. Asa kama duniani kungekuwa kuna mabeki wanaoweza kufanya marking kwa asilimia mia moja basi tusingeshuhudia timu kufungana. Una laumu mabeki wetu hawajui kufanya marking. Tutajie kuna timu gani duniani ambayo mabeki wake wanaweza fanya marking.
Agrey alivyotorokwa hakuamini majicho yake, akabaki "hili jinga si nilikuwa nimelikaba, limefungaje?"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiangalia goli la Pili la Mayele utaona jinsi mabeki wetu wasivyojua kufanya marking.
Yaani Aibu kwa mabeki sijui huwa wanalala kwenye mechi ?
All in All Mayele ni bonge la mfungaji.
Kusema ukweli Aggrey jana alijitahidi sana kumkaba Mayele.Agrey alivyotorokwa hakuamini majicho yake, akabaki "hili jinga si nilikuwa nimelikaba, limefungaje?"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kusema ukweli Aggrey jana alijitahidi sana kumkaba Mayele.
Alimkaba sana kwa kweli!!! Ila bahati mbaya akamsahau.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yeah! Aligeuka akakuta tayari mtu anatetema, kushangilia goli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alivyogeuka hakuamini ni yule yule alokuwa anapambana kumkaba ndio kafunga.
Punguza bange mchizi.Niwaambie tu wana yanga champions league ni tofauti na league za nyumbani sasa endeleeni kumsikiliza yule mnafiki manara wakati ni simba damu.
Sisi tunashida na makombe tu, hizo ela mkagawane na babra uko ukoloni.Simba ina point 10 imepata Mil.812, kuna timu ina points 48 hata buku hawapati
Siyo muda wote ni matusi mzee,Sometime nakusuppot pale unapoongea points.Mimi siyo adui yako ila napenda sana kukurudisha kwenye mstari pale unapokengeuka.Siku zote umekuwa kila Ukichangia tu Mada ( Threads ) zangu hapa JamiiForums ni lazima tu Utanitukana au Utanidhihaki na ukisema kuwa hunipendi ( hunikubali ) iweje leo umesahau Utamaduni wako huo?
Nimemisi Matusi yako naomba Unitusi ili Roho yangu itulie.
Ndio timu gani hiyo ?Mayele ni zaidi ya mtu, sijui ni jini yule jamaa maana anatisha, hakuna straiker yeyote anayempandia hapa Bongo.
Mimi ni kolo FC Ila kwa Mayele tu Huyu Cha wetu ajiunge mara kumi
Lugha imebadilika tena mara hii?😊😊Mayele mwenye bao lake moja tuu kila mechi hahaaa ila ndo yuko kileleni haya vyura shangilieni shangilieni maana msimu huu ubingwa wenu na nyie mjifute machozi kidogo. Miaka 4 Simba jamani tuliwachachafya tuwape na nyie kidogo
Sawa, tutamuona Ligi ya mabingwa msimu ujaoUnatakiwa uwe na Mshambuliaji ambaye ukimuona tu Usoni na anavyocheza unajua tu kuwa Goli lipo muda wowote ule hata akabwe vipi na kweli hakosi kama Fiston Mayele wa Yanga SC.
Na utakuwa ni Mwendawazimu wa kutukuka kama unategemea Mishambuliaji yako ya hovyo ambayo kwanza haijui kufunga, pili inarogana sana na tatu hata ikibahatisha kufunga Magoli mepesi hata kushangilia tu kimvuto haijui.
Na wiki hii kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumapili kuna uwezekano wa ajali ya kimchezo yaweza kutokea kwa mtu ama kuokota moja moja au hata kuokota Moja na kuziacha zote tatu Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Pwani ya Bahari ya Hindi.
Mtanuna na Kunichukia hadi mpasuke!!
Cc: CARDLESS
Kwa miaka minne mfululizo mmeshinda makombe mangapi? Jumlisha na kile cha MapinduziSisi tunashida na makombe tu, hizo ela mkagawane na babra uko ukoloni.
Wakifanikiwa kubeba ubingwa watavuna mamilioni kadhaa.Simba ina point 10 imepata Mil.812, kuna timu ina points 48 hata buku hawapati
Mpira ni mchezo wa makosa.Ukiangalia goli la Pili la Mayele utaona jinsi mabeki wetu wasivyojua kufanya marking.
Yaani Aibu kwa mabeki sijui huwa wanalala kwenye mechi ?
All in All Mayele ni bonge la mfungaji.