IQ yako ni upopoma asee😀Siku zote umekuwa kila Ukichangia tu Mada ( Threads ) zangu hapa JamiiForums ni lazima tu Utanitukana au Utanidhihaki na ukisema kuwa hunipendi ( hunikubali ) iweje leo umesahau Utamaduni wako huo?
Nimemisi Matusi yako naomba Unitusi ili Roho yangu itulie.
kawaida yako ukishtukiwa unaomba ban kwa mudaTafadhali Jamiiforums Founder Maxence Melo kwa Kushirikiana na Moderators wako hapa nawaombeni kwa Ujuzi wenu mkubwa mlionao kama hii ID ni yangu kama ninavyohusishwa nayo naomba mnipige PERMANENT BAN hapa kwani GENTAMYCINE nimeshachoka 24/7.kuhusishwa na ID's mbalimbali hapa.
Na sijui ni kwanini Jamiiforums Moderators wametumia Maudhui ya Headline ya Uzi wangu ambao niliuanzisha na kumpa huyu Member Itovanilo kiasi cha Kuwachanganya Watu na naanza Kuhusishwa nayo.
Nitashukuru hili likifanyiwa Kazi haraka.
Cc: OKW BOBAN SUNZU, GANGA ZUMBA, njaakalihatari, Kalpana, ukikaidi utapigwa2, kalisheshe , vibertz , Proved , Lokonga ,Salary Slip
Wahi Hospitali za Vichaa Mirembe Dodoma au Lutindi Tanga kabla hali yako haijawa mbaya tafadhali.kawaida yako ukishtukiwa unaomba ban kwa muda
kwi kwi kwi 🚮 🚮 🚮
kwi kwi mwezi mchanga huuWahi Hospitali za Vichaa Mirembe Dodoma au Lutindi Tanga kabla hali yako haijawa mbaya tafadhali.
Basi piganieni makombe watu wanapigania hela mwisho utajua yupi atapewa heshima kubwaSisi tunashida na makombe tu, hizo ela mkagawane na babra uko ukoloni.
Unatakiwa uwe na Mshambuliaji ambaye ukimuona tu Usoni na anavyocheza unajua tu kuwa Goli lipo muda wowote ule hata akabwe vipi na kweli hakosi kama Fiston Mayele wa Yanga SC.
Na utakuwa ni Mwendawazimu wa kutukuka kama unategemea Mishambuliaji yako ya hovyo ambayo kwanza haijui kufunga, pili inarogana sana na tatu hata ikibahatisha kufunga Magoli mepesi hata kushangilia tu kimvuto haijui.
Na wiki hii kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumapili kuna uwezekano wa ajali ya kimchezo yaweza kutokea kwa mtu ama kuokota moja moja au hata kuokota Moja na kuziacha zote tatu Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Pwani ya Bahari ya Hindi.
Mtanuna na Kunichukia hadi mpasuke!!
Cc: CARDLESS
Hao unaowadharau leo, ndiyo hao hao uliwashangilia miaka minne.Unatakiwa uwe na Mshambuliaji ambaye ukimuona tu Usoni na anavyocheza unajua tu kuwa Goli lipo muda wowote ule hata akabwe vipi na kweli hakosi kama Fiston Mayele wa Yanga SC.
Na utakuwa ni Mwendawazimu wa kutukuka kama unategemea Mishambuliaji yako ya hovyo ambayo kwanza haijui kufunga, pili inarogana sana na tatu hata ikibahatisha kufunga Magoli mepesi hata kushangilia tu kimvuto haijui.
Na wiki hii kuanzia kesho Alhamisi hadi Jumapili kuna uwezekano wa ajali ya kimchezo yaweza kutokea kwa mtu ama kuokota moja moja au hata kuokota Moja na kuziacha zote tatu Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Pwani ya Bahari ya Hindi.
Mtanuna na Kunichukia hadi mpasuke!!
Cc: CARDLESS
Goli la Mayele linauma kuliko msumari
Kwetu heshima ni makombe hizo ela gawaneni na babraBasi piganieni makombe watu wanapigania hela mwisho utajua yupi atapewa heshima kubwa
Moses phiri na adebayor wameishia wapi?Jiandae kisaikolojia.
mayele anakuja Simba kila kitu kimeshakwisha.
Ni muda tu unasuburiwa
Umesahau kusema ukitoa magoli ya penati kuna watu watabaki na goli 5 tu hapo..na Mayele atabaki na 11 kama kawaida.Mshambuliaji kacheza mechi karibu 20 ana mabao 11 mnasema ni hatari sana je angekuwa ana mabao 20 mngesemaje? Bila shaka mngemwabudu kabisa!?
[emoji116]
Fiston Mayele (Yanga Sports Club) – 11 Goals
Reliant Lusajo (Namungo Football Club ) –10 Goals
George Mpole (Geita Gold Football Club) – 9 Goals
Meddie Kagere (Simba Sports Club) – 7 Goals
Yaani anaongoza kwa tofauti ya goli moja ila nyimbo ni nyingi je angeongoza kwa tofauti ya goli 15 mitaa si ingejazwa sanamu zake !?
Mods kwa hiyo mmempa LIFE BAN au Permanent ban?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HahahahaSimba ina point 10 imepata Mil.812, kuna timu ina points 48 hata buku hawapati