Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
- Thread starter
- #101
Hapa shamba la bibiWabongo naneno tuila hatuna roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa shamba la bibiWabongo naneno tuila hatuna roho mbaya
Maskini ni mtu mshenzi na wa hovyo kabisaMaskini na uchawi ni kama samaki na maji. Mtu kwa wivu wake ana amua kumtilia sumu mwenzake
Unakuta kala cash ya mtu harafu anajifanya mjanja hataki kutumikaHao mabinti wanaoitwa ma slay queens
Ni wahuni
Ni matapeli
Ni waongo
Ni wababaifu
Hata wakifa hufa na mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwanini inadaiwa hao mashosti wake hawapatikani kwa hewa something fishySisi wenye shule ya forensic medicine huyo kilicho muua ni death by aspiration in sleep hakuna cha sumu wala Nini alizidisha kiwango cha pombe