Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Mkuu uko sahihi Sana, na kwa sababu watu wanafikiri wamejiumba wenyewe, hata kama Mungu atumuoni ila tutambue tupo kwenye mamlaka kamili ambayo inatupasa kufuata sheria, ukiwa muovu hapa duniani ni swala la muda, utaenda unapopachagua.
ukiwa mwema hapa duniani ni suala la muda utaenda wapi pa tofaut na mwovu alipo enda
 
Wote humu msijali, hamna wa kuwawekea sumu, Asa ndugu yangu wewe ...... nani akuwekee sumu nakati ushakata moto, hata sheta hana mpango na wewe.
 
KWenye kazi wakiwa nchi za watu wanatabia za kichawa na kujipendekeza kwa bosi, wakiwa nchini kwao wanatabia za kubaguana ki makabila. Ukiwajua hawakusumbui kabisa ku deal nao
Una exposure kubwa sana Masta kiraka 👍🏾👊🏾🙌🏾
 
Hii taarifa kwangu ni ya tatu huko huko Nairobi, wa kwanza mtanzania alikwenda kikazi akafariki kupimwa sumu katika chakula imemuua, bint mwingine pacha wake tulikuwa naye Tanzania akaletewa taarifa mwenzie kawekewa sumu kwenye chakula na huyu naye, hawa watu Wana roho mbaya kweli, binafsi siwapendi Wana wivu wa hovyo sana
Wivu wa aina hio ni level ya uchawi kabisa. Mchawi yupo radhi ufe tu sababu unakula wali nyama kila siku.
 
Sisi wenye shule ya forensic medicine huyo kilicho muua ni death by aspiration in sleep hakuna cha sumu wala Nini alizidisha kiwango cha pombe
Mkuu what if postmortem report imedeclare ni toxic substances
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari popote pale tulipo duniani. Usimuamini mtu tena, bin-Adam tumekuwa wanyama! Chuki iliyopitiliza mwisho wake ni unyama wa kiwango cha hali ya juu.

Binti mdogo, mrembo na msomi aliyekuwa akipambania anachokipenda zaidi na kuzitimiza na kuzifikia ndoto zake aliyekuwa akijulikana kwa jina la "Aziza (Janet) Frisby, mtoto wa tajiri na mshua mwenye asili ya Kitasha aliyezaaga watoto kadhaa na Mwanamama pisi ya kwenda ya kibongo mwenye kaushombe ka Kiarabu huko Arusha, ambaye aliuwawa kwa sumu huko jijini Nairobi nchini Kenya takribani wiki na siku kadhaa zimepita.

ILIKUWA HIVI...

Binti alitembelewa na marafiki zake (ma-slay queen wenzie) kwenye apartment ambayo alikuwa akiishi na nduguye wa kike jijini Nairobi.. bahati nzuri hii familia ya Frisby ina mabinti wakali kwelikweli! (Hata bwana Simba wa tandale ameshaonja mali mojawapo kutoka familia hiyo... bila kumsahau mtoto wa mheshimiwa J.K, aliyekuwa rais wa awamu ya nne chini TANZANIA, bwana Khalfan Kikwete) Nduguye aliyekuwa akiishi pamoja nae, nae ni pisi ya kwenda.

Basi kama unavyojua watoto wa kishua na ma-Slay queen wakishakutana chit-chats za hapa na pale, hugging, vicheko na kupendana kwa uongo na kweli kukaendelea... baadae binti akajiandaa akatoka na marafiki zake kwenda maeneo yao ya kujirusha na kujidai jijini Nairobi.

Baada ya kufika huko inasemekana kwenye kula na kunywa kuna mistake binti aliifanya, aliwaamini hao aliodhani ni marafiki zake akaacha kinywaji na kwenda washroom, baada ya kurudi bila hili wala lile akaendelea kuburudika na kuongeza na kuongeza kumbe inasemekana aliwekewa sumu.

Muda ukaenda, wakaagana na kurudi nyumbani (kwenye apartment aliyokuwa akiishi na Dada yake) hapohapo jijini Nairobi, ila ilikuwa ni usiku mnene kidogo... kama unavyojua washua kila mtu na room yake.

Siku ilipogeuka au kulipokucha Dada mtu hana hili wala lile akashangaa ndugu yake amechelewa sana kuamka siku ile akaona kuna haja ya kwenda kumcheki nduguye akakuta alishafariki muda mrefu sana! Inasemekana ni usiku uleule Aziza alikata kamba [emoji17][emoji24]

Dada mtu akahangaika kutafuta msaada kwa majirani na walinzi, kuita ambulance na kufuata taratibu zingine kutoa taarifa huku Bongo na kwingineko kwa ndugu zao duniani... Matajiri hawashindwi na jambo, basi Walipoanza ku-trace watu aliokuwa nao usiku uliopita na waliompitia nyumbani kwa bahati mbaya wote simu zao zilikuwa hazipatikani.

Inasemekana binti alikuwa akichukiwa chinichini na hao ma-slay queen wenzie aliokuwa akidhani ni marafiki zake na akawaamini. Sasa sijui ni wivu au kuna mengineyo chini ya Carpet.

All in all tuweni makini sana na watu tunaodhani ni marafiki au watu muhimu na wa dhati kwetu, hasa tunapokuwa sehemu za starehe... na Nairobi inasemekana ndio michezo yao kumalizania kwa sumu kwenye kumbi za starehe.

Kuna haja ya kuchukua tahadhari hata Bongo pia.

Poleni sana familia ya Frisby. Pumzika kwa amani Aziza/Janeth umeenda na utamu wako [emoji17][emoji17][emoji17]

View attachment 2785903
Kama ni sumu basi ni sumu ya kijasusi japo kwa aina ya watu aliokuwa nao sidhani kama wangeweza kuipata. Kwa mazingira hayo haiwezi kuwa sumu maana kwa sumu ya kawaida asingeweza kufanya mambo yake club na akarudi nyumbani mzima, jambo lingemtokea kulekule club. Tuache kuzusha na kupotosha mambo.
 
Tatizo kichwa Chako kimekalili kinawaza sumu nyie ndio aina ya wale watu hata watumishi wa afya wakifanya postmortem wakaleta ushahidi bado utapinga kisa unataka watu wote waamini unacho amini wewe acha kuitetemekea ngonzi nyeupe as if wao sijui ni viumbe gani acha umama bado unausela mavi frani hivi shule ya hayo mambo huna ila unalizimisha watu waamini ni sum kisa watu hawapokei cm ivi pombe unaichukulia simple simple ? Nitakuja na shule ya pombe inavopukutisha vijana ili watu kama nyie wenye uwezo mfinyi msiwe mnaongea ongea
Uzi uishie hapa.
 
Back
Top Bottom