Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Inasemekana pia ila familia yake haijakubaliana na hilo na wanaamini ni sumu. Kwann wale aliokuwa nao wote hawapatikani hewani mpaka leo?! Na hatuwezi kujua kama wapo Kenya au washapaa baada ya kukamilisha mission

Hata models wengine walipost kwamba hawaamini hayo majibu, kuna mengine chini ya Carpet
Hao hawapatikan sababu ya uoga tu wa kuhojiwa ila hakuna kitu hapo
 
Usiwahi kumuamini mkenya yeyote anayeishi Nairobi.
Hii taarifa kwangu ni ya tatu huko huko Nairobi, wa kwanza mtanzania alikwenda kikazi akafariki kupimwa sumu katika chakula imemuua, bint mwingine pacha wake tulikuwa naye Tanzania akaletewa taarifa mwenzie kawekewa sumu kwenye chakula na huyu naye, hawa watu Wana roho mbaya kweli, binafsi siwapendi Wana wivu wa hovyo sana
 
Hao hawapatikan sababu ya uoga tu wa kuhojiwa ila hakuna kitu hapo
Usipende kuongea vitu usivyovijua kwa ujuaji usio na maana unaokusumbua kichwa.

Kabla habari hazijasambaa kwa marafiki kwamba amefariki dada mtu alisema kwa familia yao na kwa vyombo vya usalama kwamba alikuwa na fulani, fulani, fulani na fulani. Kumbuka hao ni wazungu sio waafrika wajinga! Hawakurupukagi kwenye utendaji mambo.

Kabla habari hazijasambaa wala hazijawafikia aliokuwa nao tayari walikuwa hawapatikani! They knew earlier what they did and what's the results are going to bloom!

Punguza ujuaji hommie
 
Hii taarifa kwangu ni ya tatu huko huko Nairobi, wa kwanza mtanzania alikwenda kikazi akafariki kupimwa sumu katika chakula imemuua, bint mwingine pacha wake tulikuwa naye Tanzania akaletewa taarifa mwenzie kawekewa sumu kwenye chakula na huyu naye, hawa watu Wana roho mbaya kweli, binafsi siwapendi Wana wivu wa hovyo sana
Acha uboya
Unaungaunga utopolo...
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari popote pale tulipo duniani. Usimuamini mtu tena, bin-Adam tumekuwa wanyama! Chuki iliyopitiliza mwisho wake ni unyama wa kiwango cha hali ya juu.

Binti mdogo, mrembo na msomi aliyekuwa akipambania anachokipenda zaidi na kuzitimiza na kuzifikia ndoto zake aliyekuwa akijulikana kwa jina la "Aziza (Janet) Frisby, mtoto wa tajiri na mshua mwenye asili ya Kitasha aliyezaaga watoto kadhaa na Mwanamama pisi ya kwenda ya kibongo mwenye kaushombe ka Kiarabu huko Arusha, ambaye aliuwawa kwa sumu huko jijini Nairobi nchini Kenya takribani wiki na siku kadhaa zimepita.

ILIKUWA HIVI...

Binti alitembelewa na marafiki zake (ma-slay queen wenzie) kwenye apartment ambayo alikuwa akiishi na nduguye wa kike jijini Nairobi.. bahati nzuri hii familia ya Frisby ina mabinti wakali kwelikweli! (Hata bwana Simba wa tandale ameshaonja mali mojawapo kutoka familia hiyo... bila kumsahau mtoto wa mheshimiwa J.K, aliyekuwa rais wa awamu ya nne chini TANZANIA, bwana Khalfan Kikwete) Nduguye aliyekuwa akiishi pamoja nae, nae ni pisi ya kwenda.

Basi kama unavyojua watoto wa kishua na ma-Slay queen wakishakutana chit-chats za hapa na pale, hugging, vicheko na kupendana kwa uongo na kweli kukaendelea... baadae binti akajiandaa akatoka na marafiki zake kwenda maeneo yao ya kujirusha na kujidai jijini Nairobi.

Baada ya kufika huko inasemekana kwenye kula na kunywa kuna mistake binti aliifanya, aliwaamini hao aliodhani ni marafiki zake akaacha kinywaji na kwenda washroom, baada ya kurudi bila hili wala lile akaendelea kuburudika na kuongeza na kuongeza kumbe inasemekana aliwekewa sumu.

Muda ukaenda, wakaagana na kurudi nyumbani (kwenye apartment aliyokuwa akiishi na Dada yake) hapohapo jijini Nairobi, ila ilikuwa ni usiku mnene kidogo... kama unavyojua washua kila mtu na room yake.

Siku ilipogeuka au kulipokucha Dada mtu hana hili wala lile akashangaa ndugu yake amechelewa sana kuamka siku ile akaona kuna haja ya kwenda kumcheki nduguye akakuta alishafariki muda mrefu sana! Inasemekana ni usiku uleule Aziza alikata kamba [emoji17][emoji24]

Dada mtu akahangaika kutafuta msaada kwa majirani na walinzi, kuita ambulance na kufuata taratibu zingine kutoa taarifa huku Bongo na kwingineko kwa ndugu zao duniani... Matajiri hawashindwi na jambo, basi Walipoanza ku-trace watu aliokuwa nao usiku uliopita na waliompitia nyumbani kwa bahati mbaya wote simu zao zilikuwa hazipatikani.

Inasemekana binti alikuwa akichukiwa chinichini na hao ma-slay queen wenzie aliokuwa akidhani ni marafiki zake na akawaamini. Sasa sijui ni wivu au kuna mengineyo chini ya Carpet.

All in all tuweni makini sana na watu tunaodhani ni marafiki au watu muhimu na wa dhati kwetu, hasa tunapokuwa sehemu za starehe... na Nairobi inasemekana ndio michezo yao kumalizania kwa sumu kwenye kumbi za starehe.

Kuna haja ya kuchukua tahadhari hata Bongo pia.

Poleni sana familia ya Frisby. Pumzika kwa amani Aziza/Janeth umeenda na utamu wako [emoji17][emoji17][emoji17]

View attachment 2785903
Hao mabinti wanaoitwa ma slay queens
Ni wahuni
Ni matapeli
Ni waongo
Ni wababaifu
Hata wakifa hufa na mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom