Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Ndugu zangu tuchukue tahadhari popote pale tulipo duniani. Usimuamini mtu tena, bin-Adam tumekuwa wanyama! Chuki iliyopitiliza mwisho wake ni unyama wa kiwango cha hali ya juu.

Binti mdogo, mrembo na msomi aliyekuwa akipambania anachokipenda zaidi na kuzitimiza na kuzifikia ndoto zake aliyekuwa akijulikana kwa jina la "Aziza (Janet) Frisby, mtoto wa tajiri na mshua mwenye asili ya Kitasha aliyezaaga watoto kadhaa na Mwanamama pisi ya kwenda ya kibongo mwenye kaushombe ka Kiarabu huko Arusha, ambaye aliuwawa kwa sumu huko jijini Nairobi nchini Kenya takribani wiki na siku kadhaa zimepita.

ILIKUWA HIVI...

Binti alitembelewa na marafiki zake (ma-slay queen wenzie) kwenye apartment ambayo alikuwa akiishi na nduguye wa kike jijini Nairobi.. bahati nzuri hii familia ya Frisby ina mabinti wakali kwelikweli! (Hata bwana Simba wa tandale ameshaonja mali mojawapo kutoka familia hiyo... bila kumsahau mtoto wa mheshimiwa J.K, aliyekuwa rais wa awamu ya nne chini TANZANIA, bwana Khalfan Kikwete) Nduguye aliyekuwa akiishi pamoja nae, nae ni pisi ya kwenda.

Basi kama unavyojua watoto wa kishua na ma-Slay queen wakishakutana chit-chats za hapa na pale, hugging, vicheko na kupendana kwa uongo na kweli kukaendelea... baadae binti akajiandaa akatoka na marafiki zake kwenda maeneo yao ya kujirusha na kujidai jijini Nairobi.

Baada ya kufika huko inasemekana kwenye kula na kunywa kuna mistake binti aliifanya, aliwaamini hao aliodhani ni marafiki zake akaacha kinywaji na kwenda washroom, baada ya kurudi bila hili wala lile akaendelea kuburudika na kuongeza na kuongeza kumbe inasemekana aliwekewa sumu.

Muda ukaenda, wakaagana na kurudi nyumbani (kwenye apartment aliyokuwa akiishi na Dada yake) hapohapo jijini Nairobi, ila ilikuwa ni usiku mnene kidogo... kama unavyojua washua kila mtu na room yake.

Siku ilipogeuka au kulipokucha Dada mtu hana hili wala lile akashangaa ndugu yake amechelewa sana kuamka siku ile akaona kuna haja ya kwenda kumcheki nduguye akakuta alishafariki muda mrefu sana! Inasemekana ni usiku uleule Aziza alikata kamba 😔😭

Dada mtu akahangaika kutafuta msaada kwa majirani na walinzi, kuita ambulance na kufuata taratibu zingine kutoa taarifa huku Bongo na kwingineko kwa ndugu zao duniani... Matajiri hawashindwi na jambo, basi Walipoanza ku-trace watu aliokuwa nao usiku uliopita na waliompitia nyumbani kwa bahati mbaya wote simu zao zilikuwa hazipatikani.

Inasemekana binti alikuwa akichukiwa chinichini na hao ma-slay queen wenzie aliokuwa akidhani ni marafiki zake na akawaamini. Sasa sijui ni wivu au kuna mengineyo chini ya Carpet.

All in all tuweni makini sana na watu tunaodhani ni marafiki au watu muhimu na wa dhati kwetu, hasa tunapokuwa sehemu za starehe... na Nairobi inasemekana ndio michezo yao kumalizania kwa sumu kwenye kumbi za starehe.

Kuna haja ya kuchukua tahadhari hata Bongo pia.

Poleni sana familia ya Frisby. Pumzika kwa amani Aziza/Janeth umeenda na utamu wako 😔😔😔

View attachment 2785903
Kuna vifo vingine usababishwa na Ulevi!
 
Hii taarifa kwangu ni ya tatu huko huko Nairobi, wa kwanza mtanzania alikwenda kikazi akafariki kupimwa sumu katika chakula imemuua, bint mwingine pacha wake tulikuwa naye Tanzania akaletewa taarifa mwenzie kawekewa sumu kwenye chakula na huyu naye, hawa watu Wana roho mbaya kweli, binafsi siwapendi Wana wivu wa hovyo sana
Wanatabia za kikatili sana
 
Usipende kuongea vitu usivyovijua kwa ujuaji usio na maana unaokusumbua kichwa.

Kabla habari hazijasambaa kwa marafiki kwamba amefariki dada mtu alisema kwa familia yao na kwa vyombo vya usalama kwamba alikuwa na fulani, fulani, fulani na fulani. Kumbuka hao ni wazungu sio waafrika wajinga! Hawakurupukagi kwenye utendaji mambo.

Kabla habari hazijasambaa wala hazijawafikia aliokuwa nao tayari walikuwa hawapatikani! They knew earlier what they did and what's the results are going to bloom!

Punguza ujuaji hommie
Tatizo kichwa Chako kimekalili kinawaza sumu nyie ndio aina ya wale watu hata watumishi wa afya wakifanya postmortem wakaleta ushahidi bado utapinga kisa unataka watu wote waamini unacho amini wewe acha kuitetemekea ngonzi nyeupe as if wao sijui ni viumbe gani acha umama bado unausela mavi frani hivi shule ya hayo mambo huna ila unalizimisha watu waamini ni sum kisa watu hawapokei cm ivi pombe unaichukulia simple simple ? Nitakuja na shule ya pombe inavopukutisha vijana ili watu kama nyie wenye uwezo mfinyi msiwe mnaongea ongea
 
Kuna kujitapikia usingizini na matapishi kwenda njia ya hewa, au moyo kushindwa kufanya kazi. Walevi wengi hufa namna hii.
Uko sahihi sana,mimi hii kitu ilishawahi kumtokea jamaa yangu,akarest in peace kwa sababu ya ulevi,alikunywa pombe siku nzima,akarudi nyumbani usiku mnene,akajifungia chumbani,kesho yake mpk saa 6 mchana jamaa hajaamka,kuvunja mlango jamaa wa juzi,kajitapikia na matapishi yakaziba koo la hewa.......
 
Usipende kuongea vitu usivyovijua kwa ujuaji usio na maana unaokusumbua kichwa.

Kabla habari hazijasambaa kwa marafiki kwamba amefariki dada mtu alisema kwa familia yao na kwa vyombo vya usalama kwamba alikuwa na fulani, fulani, fulani na fulani. Kumbuka hao ni wazungu sio waafrika wajinga! Hawakurupukagi kwenye utendaji mambo.

Kabla habari hazijasambaa wala hazijawafikia aliokuwa nao tayari walikuwa hawapatikani! They knew earlier what they did and what's the results are going to bloom!

Punguza ujuaji hommie
Unamaanisha kwamba Huyo Dadaake hajui hao Marafiki Wote wa Aziza Wanapoishi?
 
Muovu anapo uwawa na waovu wenzake,ibilisi kamwe hawezi kukutea kwenye anga zake, suppose angekuwa anampenda Mungu, yuko nyumbani katulia, sumu angewekewa saa ngapi!? Kifupi huko aliko anatamani angepata DK 1 , atubu.. Mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Hawa sio wakuwasikitikia hata kidogo, hayo ndio maisha walio chagua, kifupi ukiwa hapa duniani tambua tunaishi kwa kanuni na taratibu na sheria, Mungu hakutaka tuishi hovyohovyo, ndio maana kaweka amri, na Neno linasema njia ya waendayo upotevuni ni pana Sana, na kumbuka mwili ndio unakufa,Bali nafsi na roho huishi milele zikiwa na hisia kama alivyokuwa duniani, sasa alichokipanda ndio alichovuna.
 
Hawa sio wakuwasikitikia hata kidogo, hayo ndio maisha walio chagua, kifupi ukiwa hapa duniani tambua tunaishi kwa kanuni na taratibu na sheria, Mungu hakutaka tuishi hovyohovyo, ndio maana kaweka amri, na Neno linasema njia ya waendayo upotevuni ni pana Sana, na kumbuka mwili ndio unakufa,Bali nafsi na roho huishi milele zikiwa na hisia kama alivyokuwa duniani, sasa alichokipanda ndio alichovuna.
Maneno magumu,yanachoma,lakini ndio ukweli,living has rules,na Mungu ametupa sheria na taratibu ili tuweze kuwa salama,ingawa swala la kufa alishaliweka wazi kuwa 'hakika tutakufa'...
 
Back
Top Bottom