Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

Kuna kubwa la kujifunza hapa. Pumzika kwa Amani Aziza (Janet) Frisby

[emoji843]Kuelekea siku yetu wanyama nawaletea mzigo huu, logo lamps zina effects na zinabadilika rangi 7 ukitaka unabonyeza ibaki rangi moja tu
[emoji843]Bei 18,000 tu inatumia ysb au battery za kawaida
481474648.jpg
1301531068.jpg
 
Muovu anapo uwawa na waovu wenzake,ibilisi kamwe hawezi kukutea kwenye anga zake, suppose angekuwa anampenda Mungu, yuko nyumbani katulia, sumu angewekewa saa ngapi!? Kifupi huko aliko anatamani angepata DK 1 , atubu.. Mshahara wa dhambi ni mauti.
Wanaoshinda nyumbani hawawekewi sumu?.
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari popote pale tulipo duniani. Usimuamini mtu tena, bin-Adam tumekuwa wanyama! Chuki iliyopitiliza mwisho wake ni unyama wa kiwango cha hali ya juu.

Binti mdogo, mrembo na msomi aliyekuwa akipambania anachokipenda zaidi na kuzitimiza na kuzifikia ndoto zake aliyekuwa akijulikana kwa jina la "Aziza (Janet) Frisby, mtoto wa tajiri na mshua mwenye asili ya Kitasha aliyezaaga watoto kadhaa na Mwanamama pisi ya kwenda ya kibongo mwenye kaushombe ka Kiarabu huko Arusha, ambaye aliuwawa kwa sumu huko jijini Nairobi nchini Kenya takribani wiki na siku kadhaa zimepita.

ILIKUWA HIVI...

Binti alitembelewa na marafiki zake (ma-slay queen wenzie) kwenye apartment ambayo alikuwa akiishi na nduguye wa kike jijini Nairobi.. bahati nzuri hii familia ya Frisby ina mabinti wakali kwelikweli! (Hata bwana Simba wa tandale ameshaonja mali mojawapo kutoka familia hiyo... bila kumsahau mtoto wa mheshimiwa J.K, aliyekuwa rais wa awamu ya nne chini TANZANIA, bwana Khalfan Kikwete) Nduguye aliyekuwa akiishi pamoja nae, nae ni pisi ya kwenda.

Basi kama unavyojua watoto wa kishua na ma-Slay queen wakishakutana chit-chats za hapa na pale, hugging, vicheko na kupendana kwa uongo na kweli kukaendelea... baadae binti akajiandaa akatoka na marafiki zake kwenda maeneo yao ya kujirusha na kujidai jijini Nairobi.

Baada ya kufika huko inasemekana kwenye kula na kunywa kuna mistake binti aliifanya, aliwaamini hao aliodhani ni marafiki zake akaacha kinywaji na kwenda washroom, baada ya kurudi bila hili wala lile akaendelea kuburudika na kuongeza na kuongeza kumbe inasemekana aliwekewa sumu.

Muda ukaenda, wakaagana na kurudi nyumbani (kwenye apartment aliyokuwa akiishi na Dada yake) hapohapo jijini Nairobi, ila ilikuwa ni usiku mnene kidogo... kama unavyojua washua kila mtu na room yake.

Siku ilipogeuka au kulipokucha Dada mtu hana hili wala lile akashangaa ndugu yake amechelewa sana kuamka siku ile akaona kuna haja ya kwenda kumcheki nduguye akakuta alishafariki muda mrefu sana! Inasemekana ni usiku uleule Aziza alikata kamba 😔😭

Dada mtu akahangaika kutafuta msaada kwa majirani na walinzi, kuita ambulance na kufuata taratibu zingine kutoa taarifa huku Bongo na kwingineko kwa ndugu zao duniani... Matajiri hawashindwi na jambo, basi Walipoanza ku-trace watu aliokuwa nao usiku uliopita na waliompitia nyumbani kwa bahati mbaya wote simu zao zilikuwa hazipatikani.

Inasemekana binti alikuwa akichukiwa chinichini na hao ma-slay queen wenzie aliokuwa akidhani ni marafiki zake na akawaamini. Sasa sijui ni wivu au kuna mengineyo chini ya Carpet.

All in all tuweni makini sana na watu tunaodhani ni marafiki au watu muhimu na wa dhati kwetu, hasa tunapokuwa sehemu za starehe... na Nairobi inasemekana ndio michezo yao kumalizania kwa sumu kwenye kumbi za starehe.

Kuna haja ya kuchukua tahadhari hata Bongo pia.

Poleni sana familia ya Frisby. Pumzika kwa amani Aziza/Janeth umeenda na utamu wako 😔😔😔

View attachment 2785903
true!! ,ata mimi ilishanitokea lakini nika2mia akili ya kazi,kama nivowai kusema pamoja na sikosi pesa ya kula beer,lakini huwa napenda sana kuingi kwenye ubanda kupata mnazi kidogo,,kwa nini? kwa sababu ya ladha yake,na pia kujichanganya na masela kwani wengi wao ni vibaka,so unapokuwa nao ukiwanunua fegi na pombe wanakukubali na huwezi kuibiwa kwani jini likujualo halikuli ukakwisha!!!...sasa bhana kuna mzee mmoja jirani yangu yeye kumbe ananichukia kwani naskia alikuwa akisema haiwezkani huyu jamaa anapaki gari hapa alafu anakunywa mnazi na ela bia anayo,huyu jamaa lazma atakuwa anatuchuza mambo ye2 na kutuchoma,anyway,,,yule babu siku akaacha kukaa na wazee wenzake na kuja kujichanganya na masela,,,sasa simu ikaita nikaenda kuongelea mbali kidogo kwa pale ubandani kulikuwa na kele ya mziki wa bendi ya less wanyika na wimbo wao wa sina makosa,,,kumbe huku nyuma yule mzee kuna msela akamwona anaweka kitu kwenye kikombe changu,,basi wakati narudi yule mzee nae akasimama na kwenda choo,nikashangaa yule msela akachukua kikombe cha yule mzee na kuweka kwangu,na changu akamwekea yule babu,nikaamuliza,mwana vipi??? ananiambia yule kuna kitu kakuwekea sasa kunywa yake nae anywe yako alaf utauona mziki wake,,,,,,kweli yule mzee alipokuja akanywa pome ile yote na akahamia kwa madingi wenzake,,,baada ya nusu saa,nikaona walevi wanapiga kelele kwenda pale nikaona yuule babu kalala chini mapovu yakimtoka!!!!!...da!!! akapewa maziwa mengi tu na akaanza kutapika!!!baada ya hapo akapelekwa dispensary akawekewa drip za maji kesho yake akatoka!!,,,,,,sasa kila nikikutana nae anaona aibu!!!
 
Kuna majitu ni majinga sana!
true!! ,ata mimi ilishanitokea lakini nika2mia akili ya kazi,kama nivowai kusema pamoja na sikosi pesa ya kula beer,lakini huwa napenda sana kuingi kwenye ubanda kupata mnazi kidogo,,kwa nini? kwa sababu ya ladha yake,na pia kujichanganya na masela kwani wengi wao ni vibaka,so unapokuwa nao ukiwanunua fegi na pombe wanakukubali na huwezi kuibiwa kwani jini likujualo halikuli ukakwisha!!!...sasa bhana kuna mzee mmoja jirani yangu yeye kumbe ananichukia kwani naskia alikuwa akisema haiwezkani huyu jamaa anapaki gari hapa alafu anakunywa mnazi na ela bia anayo,huyu jamaa lazma atakuwa anatuchuza mambo ye2 na kutuchoma,anyway,,,yule babu siku akaacha kukaa na wazee wenzake na kuja kujichanganya na masela,,,sasa simu ikaita nikaenda kuongelea mbali kidogo kwa pale ubandani kulikuwa na kele ya mziki wa bendi ya less wanyika na wimbo wao wa sina makosa,,,kumbe huku nyuma yule mzee kuna msela akamwona anaweka kitu kwenye kikombe changu,,basi wakati narudi yule mzee nae akasimama na kwenda choo,nikashangaa yule msela akachukua kikombe cha yule mzee na kuweka kwangu,na changu akamwekea yule babu,nikaamuliza,mwana vipi??? ananiambia yule kuna kitu kakuwekea sasa kunywa yake nae anywe yako alaf utauona mziki wake,,,,,,kweli yule mzee alipokuja akanywa pome ile yote na akahamia kwa madingi wenzake,,,baada ya nusu saa,nikaona walevi wanapiga kelele kwenda pale nikaona yuule babu kalala chini mapovu yakimtoka!!!!!...da!!! akapewa maziwa mengi tu na akaanza kutapika!!!baada ya hapo akapelekwa dispensary akawekewa drip za maji kesho yake akatoka!!,,,,,,sasa kila nikikutana nae anaona aibu!!!
 
Usipende kuongea vitu usivyovijua kwa ujuaji usio na maana unaokusumbua kichwa.

Kabla habari hazijasambaa kwa marafiki kwamba amefariki dada mtu alisema kwa familia yao na kwa vyombo vya usalama kwamba alikuwa na fulani, fulani, fulani na fulani. Kumbuka hao ni wazungu sio waafrika wajinga! Hawakurupukagi kwenye utendaji mambo.

Kabla habari hazijasambaa wala hazijawafikia aliokuwa nao tayari walikuwa hawapatikani! They knew earlier what they did and what's the results are going to bloom!

Punguza ujuaji hommie
Sasa ww chawa mbona unashikilia bango kwamba sumu ndio Imemuua bila ushahidi wkt huo unampinga mwenzako anayesema sio sumu?

Huyo ameshakufa hana haki tena
 
Mimi hata nikienda kwenye kikao nikifungua maji nikirudi siyanywi tena unaweza kuta ametegeshewa bomu mtu mwingine likakupata wewe maana kina kajamba nani hakuna anayetufuatilia
Chuki haichagui kajamba nani au mdosi... walimwengu wakikudhamiria hawakushindwi
 
Back
Top Bottom