Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Alishambuliwa sawaa, lakini iliupelekezi ufanyikeee, inatakiwa mhanga naye achukuliwe maelezo ilipolisi wapate pakuanzia, sasa jaama yenu kwa nini hajaenda kutoa naelezooo juuu ya tukio lake?Kwa hiyo asipofungua kesi anakuwa hakupigwa hizo risasi?
Kamanda Baro alivyopigwa risasi Mwanza,nani alifungua kesi?
Mie nafurahi sana kwa sababu linamtoa nje ya reli
Kutumia nguvu na muda mwingi kuzungumza risasi,linampunguzia lissu mvuto kwa wapiga kura
Watu wanataka kujua atawasaidia vipi kuleta maisha Bora,habari za risasi washazisikia sana
Lissu endelea baba na cd ya risasi
Ujinga ni mzigo. Hivi unajua ni nani ana haki ya kufungua kesi ya jinai?jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
du!jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Alishambuliwa sawaa, lakini iliupelekezi ufanyikeee, inatakiwa mhanga naye achukuliwe maelezo ilipolisi wapate pakuanzia, sasa jaama yenu kwa nini hajaenda kutoa naelezooo juuu ya tukio lake?
Anaogopa nini?
Sasa kama unajua hiyo kesi ni DIDIPIUjinga ni mzigo. Hivi unajua ni nani ana haki ya kufungua kesi ya jinai?
Hizi elimu za kujua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, ndiyo unaishia kuandika mambo kama haya. Elimu ya ufahamu hakuna. Hata hujui kuwa kesi zote za jinai ni DPP pekee ndiye mamlaka kisheria ya kufungua kesi, na muathirika anakuwa shahidi tu?
Halafu pia kama Lisu anaituhumu serikali, hujui kuwa ili uishtaki serikali ni lazima kwanza upate idhini ya kuishtaki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lisu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi Cha wasio julikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?
Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.
Kuna watu wanashauri kuwa Lisu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,
Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea.kufahamu kuwa Lisu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika,
Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za lisu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio
Hivyo namshauri mh lisu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.
Wanajua nani anakuwa attacked pale Lisu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera,hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
Mahakama unafikiri itafanya kitu gani kipya wakati ipo chini ya watesi wa lissu?.kesi ya ngedere haipelekwi kwa nyanijaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Uchaguzi wa mwaka huu Ni mwepesi sana,tunaonesha vitu tulivyofanya dhidi ya maneno matupu!Mbona na nyie kila suku nyimbo ni zilezile:-
Mara oooo, Standard gauge Railway, mara oooo Bwawa la nyerere mara oooo fly overs mara oooo meli, madarasa, hospitali na mabarabara--- kama kwamba ni nyie pekee mliojenga vitu hivyo kwa miaka yenu hii 5, wengine wote tangu mkoloni hadi Jakaya kikwete hawakufanya kitu.
Mbaya zaidi utazani pesa za kufayia mambo hayo "tunayoringishiwa nayo" huyo "Bwana mkubwa" anatoa mfukoni mwake na sio kutoka hazina ya umma.
Watu wanataka Uhuru, haki, maisha bora na RAHISI na mwisho maendeleo ya vitu. Maisha kitaani yamekuwa magumu mno kwasababu Bwana huyo aliapa "Jero" itaitwa mia tano, na kweli huku kitaa jero imekuwa 500.
Kwa mawazo yako na fikra zako Nchi hii kun mahakama gani inayotenda haki ? Nakupa mfano kesi ya wasimamizi wauchaguzi wanaoteuliwa na Rais tu itizame ilivokwenda?? Jee wazania kama kuna haki pale kina majaliwa na kina nape wangalipita bila kupigwajaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?
Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza???
Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Alishambuliwa sawaa, lakini iliupelekezi ufanyikeee, inatakiwa mhanga naye achukuliwe maelezo ilipolisi wapate pakuanzia, sasa jaama yenu kwa nini hajaenda kutoa naelezooo juuu ya tukio lake?
Anaogopa nini?
Unasoma darasa la ngapi?Kwani muhanga yeye ameripoti kwanani nakutoa naelezo iliuchunguzi ufanyike?
Kwa nini hataki yeye na dereva wake wakatie tuuu ata maelezo kiduchuu, ilipolisi wapate pakuanzia
hapo nani anatakiwa kumfuata nani?Alishambuliwa sawaa, lakini iliupelekezi ufanyikeee, inatakiwa mhanga naye achukuliwe maelezo ilipolisi wapate pakuanzia, sasa jaama yenu kwa nini hajaenda kutoa naelezooo juuu ya tukio lake?
Anaogopa nini?
Jibuuu maada hapoo juuu usianze kuhamisha magoliiiUnasoma darasa la ngapi?