Hao ni tour guide
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni tour guide
SureCcm mnatapatapa Sana jiwe gizani.
Bodaboda na machinga sio kazi ni kuchezea nguvukazi za wapiga kura wenu.
Kama ni Ulaya ni itakuwa Ni ulaya mashariki ambayo umasikini wake umeletwa na mfumo wa kijamaa. Kwenye ubepari hakuna umasikini, japo wapo masikini wa kujitakia mfano mateja, mashoga, vibaka au wagonjwa wa akili na ulemavu.Hawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country)
Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
SISI BODA BODA TUNAKUAMBIA LEMA TUOMBE RADHI, TUTAICHUKIA CHADEMA MAZIMA USIPOTUOMBA RADHI. View attachment 2541263
Wachina hawavai kanzu na kofia(za kiislamu),lakini viwanda vya kanzu na kofia viko China,na wauzaji wa kanzu na kofia,reja reja wapo Tanzania nzima.CCM ndio akili zao nchi Gani haitumii jembe!? Hata kwenye bustani!? Kwahiyo Sasa mnategemea kura Kwa boda boda!?
Wewe ni DR HAYA LAND, sio wote wanaoweza kuachieve level yako ya udoctor wako, we differ, tusiwadharau hawa wanaoshindwa kufikia level fulani kwa sababu mbalimbali.Endesha wewe bodaboda na watoto wako wote
Upumbavu unawasumbua nyie watoto wa vigogo wanakula mema ya nchi huku wakiwaambia watu eti bodaboda ni Ajira. Fucking mind
Labda Lema alikua Canada ya tukuyu...
Kila mtu angetamani kijana wake awe doctor and the same likes, lakini ni wachache wenye uwezo tu wa kumfikisha mtoto hapo!, so ulitaka hawa wengine wafanye nini? hasa mijini? (heri waendelee kujipatia riziki huku serekali ikiangalia namna nyingine bora zaidi ya kuwawezesha)
Temporary job while waiting or looking for opportunity it's better than being Idle!, but it's a job as others Job!Sasa tofauti ya ulichoandika hapa na anachohubiri Lema ni nini? Hivi unajua watanzania mna tatizo kubwa sana katika uelewa?
Hakuna Mzazi, kaka wala dada anayetamani Kijana wake awe Bodaboda, watu wanaumia kuona watoto wao wanaendesha bodaboda, sasa kama hii sio laana aliyosema Lema ni nini?
Temporary job while waiting or looking for opportunity it's better than being Idle!, but it's a job as others Job!
Hawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
SISI BODA BODA TUNAKUAMBIA LEMA TUOMBE RADHI, TUTAICHUKIA CHADEMA MAZIMA USIPOTUOMBA RADHI.
Tour guide labdaShowmax US boda boda wapo, mkuu!
Kampeleke mwanao asomee udereva wa Bodaboda. Hii picha ni nchi zenye dhiki kama yetu - UturukiHawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
SISI BODA BODA TUNAKUAMBIA LEMA TUOMBE RADHI, TUTAICHUKIA CHADEMA MAZIMA USIPOTUOMBA RADHI.
kama unaamini boda boda ni ajira wewe unafanya kazi ganiHawa jamaa hawana ubongo kwenye vichwa vyao!