Kuna limbukeni mmoja anatamka huko bodaboda sio kazi

Kuna limbukeni mmoja anatamka huko bodaboda sio kazi

Kuna mtu maisha yake yanaendeshwa kwa bodaboda, usimkatishe tamaa na hizo kauli za kihuni. Heshimuni kazi za watu.

Chadema ni upuuzi mtupu. Nashangaa wanatetea kauli za kijinga za viongozi. Hizo kauli zinatweza utu. Kumbukeni kuna watoto wanasoma, wanavaa, wanalala na kula kwa kazi ya baba yao bodaboda. Anaeendesha bodaboda anajiskiaje mtoto wake anasikia kazi ya bodaboda ni ya laana.???!!!
 
Kama kazi mbona hamuwapi uhuru

Bodaboda hawana tofauti na wafanyabiashara wa magendo tu

Ova
 
CCM tumshukuru Lema kwa kutusaidia kazi 2025. Sasa hivi kaongezeka Lisu pia kusapoti ujinga wa Lema
Hatari sana CCM mmepewa points 3 za bure na hawa viongozi malimbukeni wa Chadema wasio na ufahamu na dunia kwa upana.
 
Endesha wewe bodaboda na watoto wako wote

Upumbavu unawasumbua nyie watoto wa vigogo wanakula mema ya nchi huku wakiwaambia watu eti bodaboda ni Ajira. Fucking mind
Wameacha uboda boda, kazi gani wafanye ?
 
Kama ni Ulaya ni itakuwa Ni ulaya mashariki ambayo umasikini wake umeletwa na mfumo wa kijamaa. Kwenye ubepari hakuna umasikini, japo wapo masikini wa kujitakia mfano mateja, mashoga, vibaka au wagonjwa wa akili na ulemavu.
Nini maana ya umasikini ?
 
Sasa tofauti ya ulichoandika hapa na anachohubiri Lema ni nini? Hivi unajua watanzania mna tatizo kubwa sana katika uelewa?

Hakuna Mzazi, kaka wala dada anayetamani Kijana wake awe Bodaboda, watu wanaumia kuona watoto wao wanaendesha bodaboda, sasa kama hii sio laana aliyosema Lema ni nini?
Ulitaka wafanye kazi gani ?
 
Suala sio bodaboda kuwapo China,marekani ama wapi. Hoja kwasasa je bodaboda inafaa kuwa ajira kwa hapa Tanzania kiasi kwamba tuisifie na kuwatumainisha vijana kwamba kazi hiyo ni bora

Kwahali ilivyo sasa hata waliokosa ajira serikalini kufanya boda maana yake nikwamba wamekosa kile walichokikosa
Je tofauti ya boda na machinga katika kipato ni nini? Ukiachana na kile wanachoita kufukuza upepo au kutembea kwa mguu hawa wote nisawatu.
Bodaboda sio kazi ya kumshawishi mtu aendelee kuifanya. Wacheni kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa vijana hao
 
Kama wewe ukimtazama kijana wako unatamani siku moja afanye kazi ya Bodaboda, basi Lema ni mjinga.
Dunia nzima kuna classes, kama hilo hulitambui utakuwa binadamu wa hovyo kabisa.

Unadhani kuna mzazi anatamani mtoto wake awe "matching guy" au machinga? Unadhani kuna mzazi anatamani awe anatandaza nguo/nyanya na karoti barabarani?

Kinachotutofautisha ni class, mtoto wa raisi hawezi kuwa machinga au bodaboda, that's what it is.
 
mleta hoja nikuhakikishie, hakuna future yoyote ya mwendesha bodaboda Tz ktk kusonga mbele kimaisha zaidi ya kukidhi mlo wa siku tu.
Ni hayawani kama wewe ambae anaweza kuona hii ni kazi kwa kuwa hujawahi kufanya japo utafiti kidogo
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako
Wewe future yako ni ipi ?
 
Suala sio bodaboda kuwapo China,marekani ama wapi. Hoja kwasasa je bodaboda inafaa kuwa ajira kwa hapa Tanzania kiasi kwamba tuisifie na kuwatumainisha vijana kwamba kazi hiyo ni bora

Kwahali ilivyo sasa hata waliokosa ajira serikalini kufanya boda maana yake nikwamba wamekosa kile walichokikosa
Je tofauti ya boda na machinga katika kipato ni nini? Ukiachana na kile wanachoita kufukuza upepo au kutembea kwa mguu hawa wote nisawatu.
Bodaboda sio kazi ya kumshawishi mtu aendelee kuifanya. Wacheni kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa vijana hao
Ulitaka wafanye kazi gani ?
 
Back
Top Bottom