ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Kwa hiyo fahamu kazi ya boda boda sio moja.Hiyo ndio kazi ya bodaboda na sio kubeba abiria Hapa Tz 99% bodaboda zinatumika kubeba abiria .
Nchi nilizotembea bodaboda zinatumika na vijana wa Amazon ku deliver mzigo utakao agiza online au ukiagiza chakula mfano kulikuwa tunaagiza piza DK 15 nyingi boda kashakuletea na waharuhusiwi kamwe kubeba mtu