ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Hayo ndio majibu ?Kazi ni za uzalishaji na sio uchuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ndio majibu ?Kazi ni za uzalishaji na sio uchuuzi
Kw
An kuna mzazi akimtazama mwanae anapenda aje kuwa mwalimu
Kwani wewe unaipenda kazi hiyo? Unajivunia kuwa boda?
Kisa yey kalambishwa asal sis boda anatuona malofaHawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
Sisis bodaboda tunakwambia Lema tuombe radhi, tutaichukia CHADEMA mazima usipotuomba radhi.
Usiseme watu sema ww ndo ndoto yako kuwa mwalimUnaweza kusoma uhasibu na ukakosa ajira ukaamua kujiajiri kama mwalimu wa shule?
Kama huupendi ualimu ni wewe, wapo watu hiyo ni kazi ya ndoto yao.
Usiseme watu sema ww ndo ndoto yako kuwa mwalim
Kwani ualimu unatia tb,unafukuzana na polisi?Kwahiyo hoja ni kuipenda au kutoipenda. Sasa kuna watu ni walimu ila hawaipendi hiyo kazi kama wangepata nafasi basi wangefanya kazi nyingine kwahiyo tusseme nayo ni kazi ya laana?
Hawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
Sisis bodaboda tunakwambia Lema tuombe radhi, tutaichukia CHADEMA mazima usipotuomba radhi.