Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Acha kudharau watu wwHata msanyaje ukweli utabaki kuwa ukweli bodaboda sio kazi ni mp*mbavu tuu atasema hii ni kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudharau watu wwHata msanyaje ukweli utabaki kuwa ukweli bodaboda sio kazi ni mp*mbavu tuu atasema hii ni kazi
Kaa kimyaWw usidhihaki wenzio
Ww acha dharau ww 🤨Kaa kimya
Piga ua boda boda ni kazi duni na hatarishi kwa afya. Ukweli unauma lakini ndo hivoHawa ni bodaboda katika nchi iliyoendelea (first class country). Ulimbukeni ni janga kubwa sana!
SISI BODA BODA TUNAKUAMBIA LEMA TUOMBE RADHI, TUTAICHUKIA CHADEMA MAZIMA USIPOTUOMBA RADHI.
Acha kupotosha wanayatumia na hizo pikipiki zinatumika sana.Hoja mufilis, mbona kuna nchi zinatengeneza majembe lakini hawayatumii.
Kwani wewe unaonaje ?Kabla ya kuuliza hili swali umetumia kichwa chako kufikiri sawasawa?
Uchumi wa China na Vietnam unafanana na wa Tanzania ?Wewe ni mjinga kabisa kabisa kabisa. Idiot first class!! Hivi unajua tatizo la bodaboda lilivyo kubwa Tanzania? Kwanza hii nayo ni nchi maskini kama yetu! Au ni huo weupe wa rangi unakuzuzua?
Hili kundi wakomunisti walilitumia wakati wana simika falsafa yao hapa duniani.Ni kwa mara ya kwanza Tanzania, kiongozi wa upinzani kuwatukana kundi muhimu sana kwenye uchaguzi.
Tatizo la boda boda kwa upana ni lipi ? Na utatuzi wake inabidi uwe upi ?Wewe bwege wenzako wanaangalia tatizo la bodaboda kwa mapana na marefu na siyo unadhani wewe! Mbona kuna sehemu zina mpaka baiskeli za kukodi? Wenye akili wanaangalia ukubwa wa tatizo.
Kama boda boda sio kazi ? Nini hasa ? Na je kazi ni zipi hapa Tanzania ? Na ipi maana sahihi ya kazi ?Acheni kupotosha watu bodaboda sio Kazi,hao hata miaka 15 awafiki wote washakufa kwa ajali au vifua ikiwemo tb hao ni mtaji wa ccm.
Kama zipi hizo ? NijulisheZinazofanywa au zinazofanana na zile zinazofanywa na watoto wa viongozi
Utaskia wajasiriamali hao wamejiajiri katika kuokota chupa barabarani😀Bodaboda, kuokota chupa za maji na takataka zingine ni ajira rasmi ya CCM.
Mimi napenda kijana anae jitafutia ridhiki yake halali na kuacha kubweteka hovyo bila kazi, wewe je ?Kwani wewe unaipenda kazi hiyo? Unajivunia kuwa boda?
Kwani huku mizigo hawa bebei ? Na delivery hazi fanyiki kwa boda boda ?Acha kupotosha wanayatumia na hizo pikipiki zinatumika sana.
Ila hàwatumii kama tunavyotumia sisi.
Mfano nchi nyingi pikipiki zinatumika na delivery boy kupeleka mizigo , au kubeba watalii sehemu za milimani.
We chizi unachangia Mada za siasa tangu lini?Acheni madharau bila boda boda msingeweza kurahisishiwa kazi , kuanzia biashara , kazi za maofisini chakula na kadhalika , .
Na msingepata wadada Kwa urahisi wa bei wakufika na wakuwekana sawa .
Mnajiona na lema wenu mbwaa .
Sura kama kenta ya mizigo
Kwani huku mizigo hawa bebei ? Na delivery hazi fanyiki kwa boda boda ?