Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 633
- 1,256
Wasimbe wapo wengi sana Kule. Kila dk wasimbe wanaongezeka.hali ni mbaya sana.Uko sahihi,na wanawake wanaalikana wavunje miji waje huko migodini,kiufupi hali ni mbaya sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasimbe wapo wengi sana Kule. Kila dk wasimbe wanaongezeka.hali ni mbaya sana.Uko sahihi,na wanawake wanaalikana wavunje miji waje huko migodini,kiufupi hali ni mbaya sana..
Kuna mikoa unaweza tafuta utelezi usipate. Hila Kanda ya Ziwa balaa. Utelezi Kila kosa. Panatisha mno wengi wameathirika.MOSHI HAKUNA MALAYA KABISA WA KUPOZEA MACHUNGUYA SIKU KABISA KILA UKITAKA UTELEZI WA FASTA FASTA HAMNA DAH , MADEMU WA KITAA WAGUMU KISENGE YAAAANI... KUMSALIMIA TUU INAKUWA KAMA KARNE, NIKO ZANGU MOSHI MJINI , KILA NIKITAKA UTELEZI NAENDA ZANGU ARUSHA NAULI 5K TUU NATINGA MAENEO NAPATA UTELEZI NARUDI
Kuna Wasumbwa hao ni balaa. Wapo Kahama, Masumbwe, Ishirombo na Runzewe hatari sana. Mabango makubwa ya tahadhali upo eneo la ukimwi.Nilichojifunza wanawake wa kisukuma hawajui kukataa.
Hasa hawa Wanyantuzu na Wanyengw'eli.
Kuna mkoa unaitwa Simiyu acha kabisa [emoji1787]Nilichojifunza wanawake wa kisukuma hawajui kukataa.
Hasa hawa Wanyantuzu na Wanyengw'eli.
Hao wamezidi hasa hasa wa bariadi nilipita huko miezi sita niliyokaa acha aiseeWasukuma wa kahama,na misasi,na wanyamwezi, ila wanyantuzu afadhali,wanyantuzu siyo malaya
Anatetea wanyantuzu wale ni hatari aiseeNipo Ntuzu kwenyewe huku majaida utaniambia nini?
Kheri ya mwaka mpya mkuu..Dar pia ni safe mkuu Nimethibitisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mkoa unaitwa Simiyu acha kabisa [emoji1787]
Mtoto kuwa na demu mtu mzima ni kawaida
Vibinti vinapenda sana mjegeje
Na kwako pia Mkuuu....!Kheri ya mwaka mpya mkuu..
Tuendelee kuchukua tahadhari,Salam.
Kwa uzoefu nilioupitia baada ya kuzurura Nyanda za juu kusini, Kaskazini, Dar, Zanzibar na sasa nipo Kanda ya ziwa basi Nina haya ya kusema .
Hii Kanda Malaya wapo wengi mno na madanguro yapo Hadi vijijin.
Mikoa ya Mwanza na Geita umalaya NI biashara ambayo ni Kama imerasimishwq.
Usiulize Takwimu za UKIMWI. watu wa huku huwa hawapimi.
Malaya wanajiuza Hadi vijijin na wananunuliwa had na wanafunz wa Sekondari.
Nmejionea Kisesa Mwanza, Buzuruga,
Kwa Geita nimeona Katoro, Runzewe , Geita mjini ,Nzera , Nkome hata Kakubilo.
CHUKUENI TAHADHARI
Mkoa unaoongoza kwa watoto wadogo afu masingle maza arushaHahaaaaa eti wana waisraeli ,umetisha mwamba ,mi nimezaliwa na kukulia Mwanza ,kiufupi huku umalaya nikawaida kama binti wa miaka kumi na nne anapigwa mashine na kuzalishwa na jamii inaona kawaida sasa hapo sijui unategemea nini ? , Jamii za huku traditions zao ndio vinavyochangia hiyo situation .Na watu wameoza haswa kwa HIV ,nadhani huku kuna mikoa mingi ambayo inaongoza kitaifa kwa kasi ya maambuikizi ya HIV kitaifa ,hasa Geita ,Mwanza na Shinyanga ,
Unauhakika hao wanaojiuza ni wazawa wa huko!?Kanda ya ziwa maisha ni magumu mnoooo mnoooo japo huduma za kijamii ni cheap sana...ndio maana wanawake wengi wanajiuza ili kujikimu kimaisha
Uvuvi Kama mtaji kiasi gani boss??, Na sheria zao zikoje??Kilimo huku nii cha kujikimu, hakuna wakulima serious kivile labda mpunga tu,uvuvi na madini ukiwa na mtaji safi
Inategemea unataka kufanyaje,kumiliki mitumbwi,kununua samaki na kulanguza au,kama una milioni mbili unaweza kuanza kwa kukodi mtumbwi wenye injini ila ukitaka kumiliki wa kwako basi atleat uwe na milioni 5,inatosha mtumbwi,vibali na mtaji wa kuanziaUvuvi Kama mtaji kiasi gani boss??, Na sheria zao zikoje??
Na huwa wanauzia wapi??Inategemea unataka kufanyaje,kumiliki mitumbwi,kununua samaki na kulanguza au,kama una milioni mbili unaweza kuanza kwa kukodi mtumbwi wenye injini ila ukitaka kumiliki wa kwako basi atleat uwe na milioni 5,inatosha mtumbwi,vibali na mtaji wa kuanzia
Masoko ya samaki ni every where,we uko wapiNa huwa wanauzia wapi??
Mwanza mwanza mwanza dahh
Malaya za huku hazina hata aibu.
Jana si nikasema nikapajue kwatunza (pembeni niko na shemela wenuu) weeeee
Mishangingi mitatu ikakaa pembeni yetu ikaaagiza juicy na chips... basi ilipomaliza kula ikaanza kujichezesha... sasa shemela wenu ameyapa mgongo mimi ndo nlikaa mahali nayaona... na hii nlifanya kusudi maana nlishaona hali ya hewa si nzuri.
Basi mmoja anacheza hadi anamgonga shemelq wenu na matak...o... halafu yanachekaaaaa sasa mtu amekunywa juicy atalewaje hadi amchezee mwanaume wa mtu kwa kumbinulia hadi kumsogelea?? Na sio kama huyu me anachezaaaa ni kwamba amekaa kwenye kiti na amemgeuzia mgongo ila anasogea hadi mbele anamchezea.
Asee nilikazaaa nilijibebisha nilifanya yote kuwakera tu....mwisho wakaaga mashindano maana walishaona mwenye mali amekaza kama Messi hadi abebe kombe.
Wakahama kijiwe maana pale kwa tunza asilimia kubwa ya wakaka ni wale underage...nadhan kwenye 18 to 20 hivi. Above that age wachache sana.
Asee nliona maajabu sana