Kuna malaya wengi sana kanda ya ziwa, mnaokuja huku chukueni tahadhari

Kuna malaya wengi sana kanda ya ziwa, mnaokuja huku chukueni tahadhari

Salam.

Kwa uzoefu nilioupitia baada ya kuzurura Nyanda za juu kusini, Kaskazini, Dar, Zanzibar na sasa nipo Kanda ya ziwa basi Nina haya ya kusema .

Hii Kanda Malaya wapo wengi mno na madanguro yapo Hadi vijijin.

Mikoa ya Mwanza na Geita umalaya NI biashara ambayo ni Kama imerasimishwq.

Usiulize Takwimu za UKIMWI. watu wa huku huwa hawapimi.

Malaya wanajiuza Hadi vijijin na wananunuliwa had na wanafunz wa Sekondari.

Nmejionea Kisesa Mwanza, Buzuruga,

Kwa Geita nimeona Katoro, Runzewe , Geita mjini ,Nzera , Nkome hata Kakubilo.

CHUKUENI TAHADHARI
Kaka nakuomba

Nenda Tarime vijijini,kuna sehemu waniita nyamongo au nyamwaga watu wanajiuza kama hawana akili nzuri
 
MOSHI HAKUNA MALAYA KABISA WA KUPOZEA MACHUNGUYA SIKU KABISA KILA UKITAKA UTELEZI WA FASTA FASTA HAMNA DAH , MADEMU WA KITAA WAGUMU KISENGE YAAAANI... KUMSALIMIA TUU INAKUWA KAMA KARNE, NIKO ZANGU MOSHI MJINI , KILA NIKITAKA UTELEZI NAENDA ZANGU ARUSHA NAULI 5K TUU NATINGA MAENEO NAPATA UTELEZI NARUDI
Ongea na boda kuna chocho hauzijui ww kuna malaya hapo Mimi nimekaa siku moja na nilikula vizuri.

Hakuna sehemu isiyo na malaya Tanzania
 
[emoji3] kama nimeshauza mechi kimboka , uwanja wa fish, mabatini pale DIT enzi hizo ukimwi mkali.. hapo hapanitishi.. ukimwi ni kelele za milio ya risasi waoga ndio unawatia nyavuni.. kuna siku niliokota mtoto maeneo hayo hayo nje elfu tano tu, kufika hotelin nikampa kilo, alijituma Kama anakufa.. [emoji3][emoji3][emoji3]

Hahahaha sawa legend
 
Kuna kisiwa kinaitwa Kalangala kipo upande wa Uganda, kule sex inauzwa kama bia. Mwanamke mzuri nje ya chumba chake kuna benchi wateja wanasubiri akitoka mtu aingie mwingine.

Kuna kijiji kinaitwa Bwendero, mabango ya ukimwi na kutumia kinga yamewekwa makubwa. Na kondomu zimesambazwa mpaka nyumba ya mjumbe watu wapunguze maambukizi
 
Salam.

Kwa uzoefu nilioupitia baada ya kuzurura Nyanda za juu kusini, Kaskazini, Dar, Zanzibar na sasa nipo Kanda ya ziwa basi Nina haya ya kusema .

Hii Kanda Malaya wapo wengi mno na madanguro yapo Hadi vijijin.

Mikoa ya Mwanza na Geita umalaya NI biashara ambayo ni Kama imerasimishwq.

Usiulize Takwimu za UKIMWI. watu wa huku huwa hawapimi.

Malaya wanajiuza Hadi vijijin na wananunuliwa had na wanafunz wa Sekondari.

Nmejionea Kisesa Mwanza, Buzuruga,

Kwa Geita nimeona Katoro, Runzewe , Geita mjini ,Nzera , Nkome hata Kakubilo.

CHUKUENI TAHADHARI
Kwa hapo nkome na kakubiro ni wengi saana
 
Back
Top Bottom