Kuna malaya wengi sana kanda ya ziwa, mnaokuja huku chukueni tahadhari

Kuna malaya wengi sana kanda ya ziwa, mnaokuja huku chukueni tahadhari

Mwanza mwanza mwanza dahh
Malaya za huku hazina hata aibu.
Jana si nikasema nikapajue kwatunza (pembeni niko na shemela wenuu) weeeee
Mishangingi mitatu ikakaa pembeni yetu ikaaagiza juicy na chips... basi ilipomaliza kula ikaanza kujichezesha... sasa shemela wenu ameyapa mgongo mimi ndo nlikaa mahali nayaona... na hii nlifanya kusudi maana nlishaona hali ya hewa si nzuri.
Basi mmoja anacheza hadi anamgonga shemelq wenu na matak...o... halafu yanachekaaaaa sasa mtu amekunywa juicy atalewaje hadi amchezee mwanaume wa mtu kwa kumbinulia hadi kumsogelea?? Na sio kama huyu me anachezaaaa ni kwamba amekaa kwenye kiti na amemgeuzia mgongo ila anasogea hadi mbele anamchezea.
Asee nilikazaaa nilijibebisha nilifanya yote kuwakera tu....mwisho wakaaga mashindano maana walishaona mwenye mali amekaza kama Messi hadi abebe kombe.
Wakahama kijiwe maana pale kwa tunza asilimia kubwa ya wakaka ni wale underage...nadhan kwenye 18 to 20 hivi. Above that age wachache sana.
Asee nliona maajabu sana
Mwamba alijikaza asigeuke asije akakuuzi [emoji16]
 
Fursa zipo kwa wenye mitaji,ukifika katoro utasema uko kariakoo mtaa wa kongo maduka yamesheheni,population ni positive kwa wafanyabiashara ila ni negative kwa wanafamilia.huku bado watu wanazaa watoto kumi na mbili kama wana wa israel
Duuh ahseee
 
Salam.

Kwa uzoefu nilioupitia baada ya kuzurura Nyanda za juu kusini, Kaskazini, Dar, Zanzibar na sasa nipo Kanda ya ziwa basi Nina haya ya kusema .

Hii Kanda Malaya wapo wengi mno na madanguro yapo Hadi vijijin.

Mikoa ya Mwanza na Geita umalaya NI biashara ambayo ni Kama imerasimishwq.

Usiulize Takwimu za UKIMWI. watu wa huku huwa hawapimi.

Malaya wanajiuza Hadi vijijin na wananunuliwa had na wanafunz wa Sekondari.

Nmejionea Kisesa Mwanza, Buzuruga,

Kwa Geita nimeona Katoro, Runzewe , Geita mjini ,Nzera , Nkome hata Kakubilo.

CHUKUENI TAHADHARI
kisesa kubwa
 
mwalimu wetu alitueleza ukiona mtu kaita mwizi ujua huyo muitaji ni muanga wa kuibiwa.
ukiona mtu ana sema kuna malaya basi ujue huyo ni mtumiaji wa huduma hiyo. uwezi kusema kama ukitumii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MOSHI HAKUNA MALAYA KABISA WA KUPOZEA MACHUNGUYA SIKU KABISA KILA UKITAKA UTELEZI WA FASTA FASTA HAMNA DAH , MADEMU WA KITAA WAGUMU KISENGE YAAAANI... KUMSALIMIA TUU INAKUWA KAMA KARNE, NIKO ZANGU MOSHI MJINI , KILA NIKITAKA UTELEZI NAENDA ZANGU ARUSHA NAULI 5K TUU NATINGA MAENEO NAPATA UTELEZI NARUDI
Ingia malindi apo wapo wakutosha au moshi central sema wengi wakivua zinanuka balaaa, ukitaka classic nenda Amuzz
 
Back
Top Bottom