Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Hata huyu hawezi kumuacha,wanawake wanaojilipuaga hivi Huwa mnawapenda sana...imagine anamwambia una roho mbaya halafu hapohapo anamwambia nipangie nyumba ya laki tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio utajua hujui
Afu Apo utakuta Ni mtamu balaa ila kichwani ndo ivo Ni empty set
 
Ha ha ha .....yaan uyu ke Ni pacha wake mamaJ kabisa, nafurah nmepata mwenzangu akaribie tuteseke[emoji3]
🀣🀣Yaani wanajilipua hao....hebu niambie ukweli Huwa mnaenjoy Hizo drama zao eeh?
 
Uyu Ni mamaJ party two[emoji3]
 
Walahii nimechekaa... Nahisi huko nje wanahisi nimeanza kudata...



Sema mwanangu una majibu kama yangu...βœŒοΈπŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787]Yaani wanajilipua hao....hebu niambie ukweli Huwa mnaenjoy Hizo drama zao eeh?
Huwa naenjoy sn maana nna mbadala tayar (my wife), Ila ingekua serious serious ndo nnaemtegemea TU kimahusiano, tayar ningeshambwaga chini.

Nmeamua TU kuridhika na anachonipatia (sex) bila kuhoji Sana mienendo yake sana kimaisha Wala future yake[emoji4]
 
booo, baada ya kusoma hizo mixer za l na r nikakumbuka ana degree hio degree ni ya kuvukia barabara? mtoto wa miaka saba analala na mama yake vipi wanakulana?
Mama Mwana heshima sana. Mimi ndicho nilicho-note zaidi kwenye hayo malumbano. Jamani hawa wanawake wenye ku-mix L na R karibia wote wako kama huyu wa jamaa. Trust me! Nilikuwa na wa kwangu, naye ana mtoto mmoja, malumbano yake ni kama huyu 100%. Na kuandika sasa... ni wale wa ''malahaba'', ''gali'' ''mahongezi'' n.k. Kuna haja ya kila kijana anayetaka kuoa kumpa mchumba wake mtihani wa kuandika maneno ya kiswahili. Kuna watu wanaweza kusema natania lakini hebu jaribuni kuchunguza. Halafu ni wabishi, hawajui matumizi ya fedha... Huyu jamaa inabidi akimbie haraka sana sana. Yaani akimbie kama ameona simba. Halafu huwa wanatumia waganga wa kienyeji kweli kweli, eti ili wapendwe.
 
Bora umenisaidia kumjibu huyu mtanzania .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…