Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Matatizo mengine huwa mnajitakia wenyewe kwa kujidai kuwa mna huruma au mnajali sana... Nani aliwadanganya single moms wana mapenzi ya kweli? Hao watu wako traumatized na usijadai kuwa utaweza kumsahaulisha na maswahibu yake ya awali.

Anyway endeleeni kuwaridhisha mkifikiri mtaweza
 
Duniani u ape dwa mara moja tuu thats if u r lucky. Wengine kama kina mzabzab mpaka leo hatujawahi kupendwa.

So nyie single maza mlishwapendwa once mshukuru mmepata na mtoto kutokana na hiyo love. Be greatful my dear.
We mzabzab acha utani. Yani niridhike na kupendwa mara moja tu maisha yangu yote???🙄🙄
No way!!

Single mother or not...wakudanganyana nae lazima apatikane!!🤨
 
Mkuu umemsifia sana huyo mpenzi wako kuhusu muonekano wake,inawezzekana kweli ni mzuri wa sura na umbo. Ila anavyokujibu inaonekana ufahamu wake uko chini sana sana. Hapo chagua moja brother,chagua kuoa muonekano wake ili akulelee watoto vilaza au chagua mwanamke mwenye brain akulelee watoto bright.

Kuna msemo mmoja unasema, akili yake ndio italea watoto wako na wala sio sura na muonekano wake. Imagine huyu ana bachelor yake kabisa yaani!
 
We mzabzab acha utani. Yani niridhike na kupendwa mara moja tu maisha yangu yote???🙄🙄
No way!!

Single mother or not...wakudanganyana nae lazima apatikane!!🤨
Ah kwahiyo kumbe mnakubali kuoendwa kunaweza tokea zaidi ya mara nnyingi? Sasa why mnamind mwanaume akioendwa na mwanamke mwengine wakagegeduana au mwanamke akapendwa na mwanaume mwengine akamoea mbususu?

Sasa wakudanganyana tena hapo mbona kama wanichanganya dr?
 
Mimi mpaka form 3 ilikuja kuacha nikiwa 4m 4
 
Aisee hiyo hairuhusiwi hata kidogo tukiwa bado in the middle of kupendana. Amalize kupendana na mimi ndo akapendane na wengine huko!!😏

Sindo mnasemaga wanawake tunapenda kudangwanya?? Nimeanza mimi kukubali....😁😁😁
 
booo, baada ya kusoma hizo mixer za l na r nikakumbuka ana degree hio degree ni ya kuvukia barabara? mtoto wa miaka saba analala na mama yake vipi wanakulana?
Hapa tayari mtoto wa kiume mwingine.
-huyu akienda sehemu,atalia kisa hajalala na mama yake.
-umri huu, wakianza yao,linainua kichwa na kuanza kuangalia. Mshikaji hapa lazima aache. Kwa wanaoelewa,hiyo hali haivumiliki.
-hata kwa siku moja,mtoto wa kiume akikuona unamla mama yake,utajuta maisha yako yote. Hata baba yake mzazi kisirani hakiishi sembuse mtu mwingine.
-Kwa umri huo,hayo mambo mtoto akiyaona tu hata kama ni mara moja,humuathiri kisaikolojia.
-Huyo mwanamke,ni tu kwamba ana viungo vya siri vya jinsia ya kike. Hata marehemu asingemuweza.
-huyu jama ana ubavu aise. Mvumilivu.
Kosa alilofanya na yeye ni kukubali kulala na mtoto. Angekuwa analala na msaidizi wa kazi karibu.
Kwamba kujikojolea ni kawaida ataacha! Khah! Yaani alale chumba kinanuka mikojo kisa mtoto haguswi!
Inaonekana jama alikuwa anatumika tu wala hakuwahi kupendwa.

Tuta Absoluta Kantangaze ,kwa hali hii,aliwahi hata kutoka akakuacha na mtoto? Au wewe kutoka akuache uende nae! Kama jibu ni hapana,hakukuwa na mtu hapo. Hapo umeshapigwa na kitu kizito,mtoto shangazi zake na wajomba watalea,na mama yake waachie masela
 
Ingawa kujikojolea kwa mtoto wa miaka saba ni kawaida ila kama hana shida ya kiafya mara nyingi ni swala la kisaikolojia zaidi, muda mwingine fimbo zinamuweka vizuri kiakili kuliko kimfanya aone ni kawaida , kuwapenda watoto kupitiliza ni ku waharibu , usimnyime mtoto viboko watu wa biblia watashusha Ni verse ipi
 
Aisee hiyo hairuhusiwi hata kidogo tukiwa bado in the middle of kupendana. Amalize kupendana na mimi ndo akapendane na wengine huko!!😏

Sindo mnasemaga wanawake tunapenda kudangwanya?? Nimeanza mimi kukubali....😁😁😁
Umeeleweka dr. Haya bwana mie ngoja njtume maombi nije tudanganyane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…