Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Acha wivu. Watu wanapiga hela we acha tu.

Laki tatu za Nyumba bado matumizi.

Huyu mwamba atakuwa ni memba wa wasafi wc
 
Daah Kaka huyu ni mwanamke kilaza Sana.

Yaan Pesa yako bado bado anasema bahili?

Unatafuta kwa jasho lako bado unaroho mbaya kwako?

Daah dada kama huyu ni laana hata kuwa nae.

Bado haitoshi anataka tena umpangie chumba huku akikulaani kuwa unaroho mbaya na bahili?

Daah kumbe Ile dhana mwanamke ni chombo cha starehe wao wanaipenda na ni kweli.

Ushauri.

Kata mazoea kabisa muache aende piga blocks Kila mahali....atakutafuta Sana.

Mdada kashapoteza bahati kizembe hivyo.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
I'm sure ukiwa kwenye mahusiano na mtu sahihi lazima kuna namna atakua anaongeza value kwenye maisha yako. Kama hamna anachoongeza basi hata mi nakubali kwamba haina maana!πŸ‘ŠπŸΎ
Kuna wengn hata hamna mahusiano Yale pendwa mpo just washkaji tu lkn huoni shida kumsaidia vitu kama hvo lkn mwingine mna mahusiano kbs lakni huna hamu kbs hata ya kumnunulia perfume tu
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kumbe ndo inakuwaga hivyo??πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Hizi zetu za kwenye πŸ“± hazina hizo mambo zenu!πŸ€“

Kweli acha tufurahie while we still can!
 
Hiyo fear unayomtengenezea inaweza ikasababisha tatizo lingine kubwa zaidi la kutojiamini.
Tumekuzwa na fear hadi tumefika hapa. Tumewakuza mibaba na mibinti karibia na nyie kwa fear na wametokamo na kuwa wa maana. Tusidanganyane, fear ni muhimili mkuu wa kumkuza mtoto ambaye ni intelligent. Ukiwa na mtoto kilaza sawa.
 
Nashukuru umeelezea kile ambacho pengine mimi si mwongeaji mzuri kukieleza.
 
Ila mtoto wa miaka saba anajikojolea lazima aadhibiwe ajue huo ni upuuz miaka saba ni darasa la kwanza mkuu unaruhusu akojoe hapo inakuaje mkuu daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…