Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Beka kamtuma Bakari.na baada ya kujua kuwa wana simba sc wa jamiiforums wanapenda kusikia unafiki basi nae pia amekuwa mnafiki tu
kwani hii id yangu pekee hapa jamiiforums ya cognizant imepigwa ban ndugu au?Kwani kule umepigwa ban?🤔
ukimaanisha...!!Naona Beka kamtuma Bakari.
tafadhali acheni kulazimisha kunipa id ya genta sawa? mimi ni cognizantAaah c'mon Genta... we know you.
wana simba sc wangekuwa wanamwelewa hata wasingeshangaa kwanini wanafungwa kila mara na watani zao yanga scKweli nae kaona maneno yasiwe mengi kawa mnafiki tu ili awafurahishe wana simba, lakini tunashika maneno yake ya mwanzo aliposema simba msimu huu pia ni mbovu hayo ndio tunaenda nayo
ukimaanisha id ya cognizant inamsifia cognizant huyo huyo au?Ni mwendo wa ku switch ID na kujisifia
Ngoja wakubane najua utaanza kushusha mitusi yako.tafadhali acheni kulazimisha kunipa id ya genta sawa? mimi ni cognizant
Auukimaanisha id ya cognizant inamsifia cognizant huyo huyo au?
wambane nani mimi cognizant au huyo bwana wao sijui genta?Ngoja wakubane najua utaanza kushusha mitusi yako.
We subiri tu.
huyu jamaa sijui ana nini yaani watu wote hapa jamiiforums tuna signatures zetu ila yake hii ndiyo watu wanaipendaPure talented,,, charismatic fella,,game changer and entartaier 😅😅😅
Nawe unanipenda ID yake eeh...?huyu jamaa sijui ana nini yaani watu wote hapa jamiiforums tuna signatures zetu ila yake hii ndiyo watu wanaipenda
kwakuwa nawaona nanyi mnaipenda basi nami pia nimelazimika kuipenda kama nyie. jamaa sijui ana kizizi cha kukubalika...!!Nawe unanipenda ID yake eeh...?