Kuna member mmoja maarufu sana hapa JF akisema ukweli wake kuhusu Simba SC, wana Simba wanampuuza

Kuna member mmoja maarufu sana hapa JF akisema ukweli wake kuhusu Simba SC, wana Simba wanampuuza

kwakuwa nawaona nanyi mnaipenda basi nami pia nimelazimika kuipenda kama nyie. jamaa sijui ana kizizi cha kukubalika...!!
Hahahaha...kumbe unakuwaga mpole hivi game changer ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Sheikh ni yule yule tofauti ni kanzu tu...
 
Anatuchulia wote sie wakazi i wa kawe
mzoeeni huyo huyo mume wenu mnayemtqa hapa na siyo mimi sawa? kama mmezoea kumiminiwa nae hadi kutwa mnajipendekeza kwake basi siyo mimi
 
Back
Top Bottom